Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huwa nikifananisha Mayor wa duniani na wa kwetu naona hata udereva asingepewa
Hebu angalia nguvu za Mayor wa majiji makubwa na kazi zao halafu anakuja mwingine kwa cheo hicho hicho anaandaa upuuzi huu
Poleni sana
Hebu angalia nguvu za Mayor wa majiji makubwa na kazi zao halafu anakuja mwingine kwa cheo hicho hicho anaandaa upuuzi huu
Poleni sana