Pre GE2025 Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Pre GE2025 Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo atakuwa na laana au ni punguani.

Ni lini alifanya utafiti akagundua kuwa watanzania wote wanamtaka msaliti Tulia awe mbunge wao?? Uchawa kweli humwondolea mtu akili, hata kama alikuwa nazo kudogo!!

Baadhi yetu hatumtaki kabisa huyo msaliti Tulia kuwa hata kiongozi wa Serikali ya mtaa. Mtu mnafiki na mwongo kama Tulia, nani mwenye akili amtake kuwa mwakilishi wake?

Huyu ndiye alisema kuwa hakuna watu wanaotekwa.

Huyu ndiye miongoni mwa wahusika wakuu kwenye mradi wa kuwagawia DPW bandari zetu zote na kuidhinisha mkataba wa kishenzi kabisa ambao haujawahi kwepo mahali popote Duniani.

WanaMbeya mtakuwa mmefanya jambo la maana sana mkituongolea huyo msaliti wa nchi yetu. Kama anataka ubunge, akagombee Zanzibar maana huko atawaeleza jinsi alivyoshiriki kuzilinda bandari za Zanzibar zisiingie kwenye mkataba wa kitumwa kama ule wa Tanganyika na DPW.
Wauza unga wanamtaka Tulia
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Wanambeya muda wausingizi umeisha,nimuda wa kuwa macho hakuna kupitwa na chochote,kumbuka kila jema,ila usisahau baya,kwani maisha yanamapito mengi,ila kumbuka mapito ni mengi zaidi au neema imetawala zaidi.Kisha usiache kujiuliza kwanini yote hayo?Je nini chanzo na sababu,hata dunia imeonekana kutuchoka.Acha kulala Ammkaaa
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Ni kweli, aletwe Arusha atapata zaidi ya 95% Rais wa mabunge duniani haiwezekani ashindwe ubunge wa jimbo. Dunia itawaona wapiga kura nyumbu si binadamu wenye akili zao.
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Tulia ni takataka tu ililetwa na Magufuli mwaka 2020 wala hatukumpigia kura.

Huyo anayesema Mstahiki Meya anayempigia debe ni mnufaika tu wa mfumo wa Tulia Trust. Jiji la Mbeya ni chafu, halina barabara, limejaa bajaj tu anazokopesha Tulia.

Yaani serious anatuletea matamasha ya ngoma na akina Zuchu na mchumba wa P Diddy anadhani ndiyo vitatushawishi?? Tunataka maendeleo cc The Watchman
 
Ni kweli, aletwe Arusha atapata zaidi ya 95% Rais wa mabunge duniani haiwezekani ashindwe ubunge wa jimbo. Dunia itawaona wapiga kura nyumbu si binadamu wenye akili zao.
Hafai hata kulumangia. Wenzake walikotokea maspika wa bunge, maendeleo yalikimbizwa sana. Mbeya hata kiwanja cha kisasa cha michezo hatuna.

Sasa tujivunie urais wa wabunge duniani kwa lipi?
 
Yaani serious anatuletea matamasha ya ngoma na akina Zuchu
Na barabara za katikati ya jiji hali mbaya mashimo kama yoote, Huduma za afya mbovu, stendi ya mabasi iliyochokaa kama spare tairi
 
Back
Top Bottom