johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: www.channel ten
Pia soma;
Thread 'Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke' Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: www.channel ten
Pia soma;
Thread 'Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke' Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke