Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

Muta Rwakatare diwani wa Kawe.

Muta Rwakatare ni rais wa chama cha ngumi Tanzania.

Muta Rwakatare ni mrithi wa Mali zote za mama yake Getruda Rwakatare kuanzia Kanisa na mashule yote ya St. Mary's ( Dar, Mbeya, Mwanza na Ifakara).

Muta Rwakatare hawezi kupoteza muda aje akae kwenye kikao Siku nzima kwa posho ya elfu 30.
Sasa kwa nini aligombea udiwani? Kama yuko busy hawezi kuhudhuria vikao angeacha hiyo nafasi kwa watu wengine.
 
As simple as that much, mtu mkubwa kupotea, only that
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: wwwchannel ten
Watangaze kata ipo wazi
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: wwwchannel ten
Amefichwa?
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: wwwchannel ten
Kijana upo mjini gani

Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie

Ova
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: wwwchannel ten
Tuanze na huyu Songoro anafahamu diwani wetu alipo !! asitusumbue
 
Kijana upo mjini gani

Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie

Ova
Inajulikana jamaa ni teja mzuri tu.
Waanze kumtafuta soberhouse za jijini.
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: wwwchannel ten
Tobaa!! wenyewe kwa wenyewe mmeanza kutekana!!! Ahsante Mungu! suluhu itakuja tu
 
inawezekanaaa mwana mtu wa mitungi sana kuna nilimuonaga julliana pale amejificha hivi anakula heineken tuu
Kabla ya udiwani alikuwa anajihusisha na biashara gani
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: wwwchannel ten
Au katekwa na Panya Road

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom