Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: www.channel ten

Pia soma;

Thread 'Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke' Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke
 
Kafichwa na wanachukua chako mapema au,kwani wametofautiana wapi🚶
 
Duh...!.
P
 
We jamaa Diwani wa Kawe si yule mtoto wa Mama Rwakatare anaitwa Mutta Rwakatare!! Angalia file lako vizuri, Kunduchi nadhani ndio anaitwa Urio
 
 
Labda kafichwa na Mzee Mdee
 
Jiwe ameharibu sana hii nchi ..... haya yooote kawafundisha jiwe!...mkajua kuumbe kutekana ina wezekana! jamani kaeni macho unaweza dhaniwa ndiye kuuumbe siyo lkn ndo umeshatekwa sasa!!
 
Atakuwa amejiteka mwenyewe ili kupata attention za kisiasa pindi atakapoibuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…