haya ndugu yanguMzaha uko wapi hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya ndugu yanguMzaha uko wapi hapo?
Wizara ya Elimu popote mlipo , NAOMBA MKEMEE HIKI KITENDO HARAKA SANA KWANI NI KUDHALILISHA TASNIA YA UALIMU. HIVI KWANINI TUNARUHUSU HUU UJINGA UTAMALAKI? WIZARA YA ELIMU TOENI KAULI JUU YA HUU UJINGA.
Chuki zinakusumbua. Alipe kwani yeye mwanafunzi muda huu?.wamuulize kama Samia kalipa ada na michango yote hii 70 wanayolipa form 1 boarding ni nini?
Tulia wewe, wizara ipo chini ya serekali ya ccm, waziri ni wa ccm na meya ni wa ccm
Hata chama cha waalimu pia ni ccm!
Siiiisiem Hoye!
Hao ndio wanaochangia kufelisha watoto wetu.Ashtakiwe kwa kufundisha bila maandalizi wala mitaala. Yawezekana pia hana taaluma ya ualimu.
CCM ndivyo inavyoendelea kutuharibia nchi. Hayo yote kiherehere ili Rais amuone kama mchapakazi. Kupongeza kila kitu na kukihusisha na Rais. Mbatis emetwambia tuna tatizo la viongozi wengi kuwa mapunguani ktk nchi hii.Wizara ya Elimu popote mlipo , NAOMBA MKEMEE HIKI KITENDO HARAKA SANA KWANI NI KUDHALILISHA TASNIA YA UALIMU. HIVI KWANINI TUNARUHUSU HUU UJINGA UTAMALAKI? WIZARA YA ELIMU TOENI KAULI JUU YA HUU UJINGA.
Angalia alivyo jidhalilisha, hivi ndivyo siasa inavyoingilia shughuli za kitaalamu na kusababisha uharibifu. Mfano tu mwanafunzi akiulizwa swali: With examples what do you understand by the term biology? Halafu kwenye majibu ya mwanafunzi unakutana na mifano Kama:Biology is a study of living things.
-Binamu
-Animal
-Mimea
Kupatwa kwa elimu.
Unataka bure mkuu???wamuulize kama Samia kalipa ada na michango yote hii 70 wanayolipa form 1 boarding ni nini?
Weka ushahidi hapa, ili ufanyiwe kazi. Mahindi ya nini Shuleni wakati hakuna mashine za kusaga karibia shule zote za Serikali??mimi ndo nakueleza sasa. real life
Inabidi akamatwe huyu mayor,kaivua nguo taaluma ya ualimu.Biology is a study of living things.
-Binamu
-Animal
-Mimea
Kupatwa kwa elimu.
Sio hivyo tu mkuu,biology haihusiki na living things but also non living things, hapo meya kapotosha Sana,na mtoto huenda amekalili hivyo, mwisho wa siku lawama zinaenda kwa mwalimuAngalia alivyo jidhalilisha, hivi ndivyo siasa inavyoingilia shughuli za kitaalamu na kusababisha uharibifu. Mfano tu mwanafunzi akiulizwa swali: With examples what do you understand by the term biology? Halafu kwenye majibu ya mwanafunzi unakutana na mifano Kama:
-Binamu
-Animal
-Mimea
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hawa wehu ndio wanaharibu elimuBiology is a study of living things.
-Binamu
-Animal
-Mimea
Kupatwa kwa elimu.
Moshiblog UpdatesView attachment 2087057MOSHI: MICHANGO YAPIGWA "STOP" MASHULENI, MEYA RAIBU AINGIA DARASANI KUFUNDISHA BIOLOGY
Moshi Kilimanjaro
• Meya Raibu apiga marufuku michango mashuleni, adai walimu wakuu waache watoto wa Rais Samia wasome bila bugudha
• Awaonya wazazi wasiopeleka watoto shule kujiandikisha, adai wasiogope, Rais Samia amekwisha lipa ada yote
• Awapiga msasa wanafunzi wa kidato Cha Kwanza
Mstahiki Meya wa Manispaa Ya Moshi Ndugu Juma Raibu akiwa katika ziara ya kutembelea Madarasa yaliyojengwa Kwa ufadhili wa Fedha za Uviko 19 amezungumza na waalimu na wanafunzi akifafanua faida kedekede za ujenzi wa madarasa hayo.
Meya huyo amedai tayari Kwa asilimia kubwa ujenzi umekamilika na Madarasa hayo yameanza kutumika na yamekuwa msaada mkubwa katika Manispaa hiyo.
Amesisitisa walimu wakuu kuacha mara moja kuwarudisha nyumbani watoto kwa kisingizio Cha michango kwani Rais Samia amekuwa akitoa bilioni 28 Kila mwezi nchini kote kugharamia uendeshaji wa shule za serikali. Namnukuu
"Ndugu zangu walimu Kwanza niwapongeze Kwa kufanya kazi njema na bora sana ya kuwafundisha watoto wetu, lakini pili niwatake mwongeze bidii ili Manispaa yetu ipae zaidi na zaidi kielimu katika nafasi za kitaifa na tatu niwatake walimu wakuu kuacha mara Moja kuwarudisha mjumbani wanafunzi kisa michango kwani hela hizi zimeshalipwa na Rais Samia Kila mwezi Bilioni 28"
Lakini pia Mstahiki Meya huyo amewataka wazazi wote wa Manispaa hiyo kuwaleta na kuwaandikisha mashuleni watoto wote wanaopaswa kuanza shule za msingi na sekondari, kwasababu ni Elimu bila malipo. Namnukuu
"Watoto Waambie wazazi wote wawalete watoto waliobaki majumbani waje kupata Elimu ili iwe Mkombozi wa maisha yao na taifa Kwa ujumla na hivi sasa Elimu ni bila malipo kwani serikali ya Rais Samia inamaliza yenyewe Kila jambo"
Pia Meya amewataka wanafunzi hao kusoma Kwa bidii ili waje kulisaidia taifa siku za usoni, na Kwa msisitizo zaidi Meya huyo aliwafundisha wanafunzi wa kidato Cha Kwanza Somo la Baiolojia katika mada ya Utangulizi (Introduction of Biology).
MoshiBlog Updates