Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Dr Slaa ni mdhambi na dhambi hizo zimewapoteza kwenye ramani!🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Ulituahidi utatujengea shule kule Ibwera mbona umetapeli kama mlivyotapeliwa na Kitengo mpaka baba watoto ikabidi awe shoopkeeper
 
Dr Slaa ni mdhambi na dhambi hizo zimewapoteza kwenye ramani!🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Dah! ona aibu! yaani wewe kuwa na nembo za chama kwenye computer unashirikiana na ccm, we ndo ume doctor document za cdm kufake barua, hata kama uko ughaibuni umetenda jinai, unamuaibosha baba ju...or
 
Sasa huu ndo ushahidi kweli? Hao viongozi naishauri serikali iwalinde sana maana wanaweza kutekwa na kuamuliwa kurekodiwa kama hivi, huyu Jacob huwaga simuamini kabisa yuko violent sana
Kwa hiyo tuendelee kuamini kwamba amefukuzwa?
 
Hoja imepikwa kitaalamu sana, wao wanataka umeya kwani udiwani anabaki nao kama sivyo mkurugenz kapotoka kuact bila barua ya NEC ambayo itaijurisha manispaa kuwa Diwan husika hana sifa za udiwan

Ila hoja hii inaweza kumalizwa pia kitaalamu
 
Muda wa kutengeneza barua fake katikati ya janga la Corona mnautoa wapi?!

Mnajitahidi kutafuta michango huku mnawakera wachangiaji, sijui akili zenu ziko wapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Meya anawekeza kwenye kunenepa tu, mashavu yanaongezeka ila maendeleo hakuna.
 
Duh, makosa ya kimtandao au.Duh huyu mkurugenzi hatari anafanyia kazi barua feki duh
 

Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo akithibitisha kupokea barua kutoka chademu ya kumtimua uanachama Boniface Jacob.

Duh, yaani mkurugenzi kaifanyia kazi barua feki, duh.hakukuwa Na namna ya kujiridhisha? hii Ni hatarii
 
Hivi mkurugenzi alijiridhisha kabla ya kufanya maamuzi? Maana swala LA kufukuzwa MTU uwanachama sio siri Bali hutangazwa kwenye vyombo vya habari, mbona hatujasikia?
 
Hivi mkurugenzi alijiridhisha kabla ya kufanya maamuzi? Maana swala LA kufukuzwa MTU uwanachama sio siri Bali hutangazwa kwenye vyombo vya habari, mbona hatujasikia?
Nilikuwa natafuta jibu kama hili toka ukurasa wa kwanza hadi wa tano! Maajabu ya JF.

Hivi CCM inawabidi wajishushie heshima kiasi hiki? Mwisho wao wa kuona aibu ni upi; maana kuna mambo yasiyostahiri kufanywa na yeyote ili kulinda heshima, hata kama imebaki ndogo.
 
Hivi mkurugenzi alijiridhisha kabla ya kufanya maamuzi? Maana swala LA kufukuzwa MTU uwanachama sio siri Bali hutangazwa kwenye vyombo vya habari, mbona hatujasikia?
Yule mkurugenzi atakua na matatizo ya kifamilia, ni wale ambao ndoa zimewashinda na kukimbilia siasa
 
Nilikuwa natafuta jibu kama hili toka ukurasa wa kwanza hadi wa tano! Maajabu ya JF.

Hivi CCM inawabidi wajishushie heshima kiasi hiki? Mwisho wao wa kuona aibu ni upi; maana kuna mambo yasiyostahiri kufanywa na yeyote ili kulinda heshima, hata kama imebaki ndogo.
Wamejaz vilaza tupu
 
Nilikuwa natafuta jibu kama hili toka ukurasa wa kwanza hadi wa tano! Maajabu ya JF.

Hivi CCM inawabidi wajishushie heshima kiasi hiki? Mwisho wao wa kuona aibu ni upi; maana kuna mambo yasiyostahiri kufanywa na yeyote ili kulinda heshima, hata kama imebaki ndogo.
Kiukweli inaonekana huu mpango ulisukwa naye kahusishwa.Vinginevyo Ni kukosa umakini Wa hali ya juu huyu mkurugenzi, huwezi Fanya maamuzi kama hayo bila kujiridhisha kamwe, je mkurugenzi kwa hill hawezi akaisababisha serikali kupoteza fedha au rasilimali zake kizembe? Je haiwezi tokea Siku akasaini Hundi ya mamilion kutoka kwenye akaunti za halmashauri bila kujiridhisha? Kwa maoni yangu serikali inapaswa kumchukulia hatua Mara moja.Pia takukuru ilipaswa kuingia kazini.pia waandishi Wa habari wanapaswa kumuuliza kwa kina juu ya hili.
 
Back
Top Bottom