Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?

Doh,imebidi nicheke tu,ni hasira za Meyor Jacob kuwa yuko Ofisini au una kingine Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?
Jana mmejaribu kumpindua sasa ndio mnamalizia hasira zenu kimtindo!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?
Na wewe hilo Barbarosa ni la ukoo au?
 
Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?

..kwao ni Kyela, Mbeya.
 
Hivi John Samwel ni majina ya ukoo?
Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa makonda lazima kuna kitu mbaya alikufanyia mkuu.
Instagram media - B8BQWAFHAJI ( 367 X 640 ).jpg
IMG-20141102-WA0010.jpg
 
Hawezi kuingia ofisni huyo ametimuliwa

Km unabisha Tukutane kesho
 
Zile Prado zile , viyoyozi na title wee acha tu, jamaa akatoa clip ya kujitetea usiku usiku.
 
Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?
Mbona unaonekana kama una hasira hivi baada ya mipango mliyofanya kubuma. Mwambieni Polepole awarudishieni akili kidogo alizizifungia kwenye makabati ya lumumba ili mipanngo mnayofanyaa iwe ya kiakili zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom