Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Mods acheni mambo yenu. Mjumbe wa kamati kuu ya chama kuvuliwa uanachama na wajumbe wa kata mnaleta breaking news? Hamuoni kuwa hizo ni njama za maccm na nyie mnaingia mkenge! Emb ondoeni huu utopolo humu.

Hahaaaaa yaani Kanuni hapo zimefuatwa mpaka Raha! Ukiwa na kiburi unasahau misitari ya sheria zinazokulinda! Unajiachia pwaaaaa!
Hapo hakuna mahaka ya kutengua kila barua imenukuu vifungu vyake vya maamuzi!
 
Sidhani kama CHADEMA wamekaa hicho kikao na kuazimia hayo maamuzi ya kumtema Meya, hapo inaonekana kuna viongozi wachache wamenunuliwa na kuandaa hiyo barua ya kumvua meya Uanachama na Umeya.


siasa za kipumbavu sana hizi
Yani mods nao wameingia kwenye mkumbo wa kitoto kweli. Mamlaka ya mwisho ya kutangaza kumvua mtu uanachama ni kamati kuu kupewa mamlaka na halmashauri kuu. Sasa wao wepokea kikaratasi kimeburuzwa huko wanaandika breaking news. Ngoja sisi tunawaletea news za kutoka Geita mida hii.
 
Uhuni huu, unamvuaje uanachama Meya bila hata Copy kwenda kwa Mwenyekiti wa Chama
So what! Mwenyekiti wa Chama hajawahi kuwa Mtendaji wa taasis! Mwana Chama hai anatambulika kwenye shina na kata yake!
 
Yani mods nao wameingia kwenye mkumbo wa kitoto kweli. Mamlaka ya mwisho ya kutangaza kumvua mtu uanachama ni kamati kuu kupewa mamlaka na halmashauri kuu. Sasa wao wepokea kikaratasi kimeburuzwa huko wanaandika breaking news. Ngoja sisi tunawaletea news za kutoka Geita mida hii.
Wamerekebisha mkuu , ila wamekosea sana
 
Back
Top Bottom