Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Sasa kama anaitwa hataki hata kupeleka utetezi hataki? Unategemea wafanyeje uongozi wa Kata?
Kamati tendaji ya Kata inayo mamlaka ya kumvua uanachama Mwanachama?

Inaonesha wewe una jambo binafsi na Mbowe maana kila baada ya sentensi moja unamtaja Mbowe!!
 
5.4.3 Kuachishwa ama kufukuzwa na tawi lake ama ngazi nyingine ya Chama, kwa mujibu wa Katiba kwa kukosa sifa za kuendelea kuwa mwanachama ama kuwa na mwenendo usioendana na Itikadi, Falsafa, Madhumuni, Kanuni, Maadili na Sera za Chama. Mwanachama atakuwa na haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu kama hakuridhika na adhabu hiyo.

Hii ndiyo Ibara ya kufukuza mwanachama uanachama. Hao hiyo Ibara ya 10.1 (x) wameitoa kwenye katiba ipi na inasemaje?
Sasa unatakiwa uwaulize hao wenzako kulikoni!
 
Sasa unatakiwa uwaulize hao wenzako kulikoni!
Inawezekana isiwe ni wenzetu ikawa ni wenzenu!

Hata hivyo vifungu vya kanuni walivyonukuu viko "Vague" sana kiasi kwamba haieleweki walinukuu toka wapi.

Tatizo ni Mkurugenzi na sio hao vilaza wa huko Ubungo!!
 
Inawezekana isiwe ni wenzetu ikawa ni wenzenu! Hata hivyo vifungu vya kanuni walivyonukuu viko "Vague" sana kiasi kwamba haieleweki walinukuu toka wapi.

Tatizo ni Mkurugenzi na sio hao vilaza wa huko Ubungo!!
Ni ujinga wa hali ya juu mfukuzane nyie mseme ni mwingine.
Sisiemu inaonekana mnaiogopa sana, hata kivuli chenu mnakiita sisiemu!
 
Back
Top Bottom