Kama kikao kimekataa na kupitisha maamuzi mnapoteza muda tu hiyo kukosea kunakiri ibara haina maana sana. Kikao na quoram ndiyo muhimu.Hiyo barua ina makosa mengi sana ya kisheria. Mojawapo ni kutaja ibara ambayo haimo kwenye Katiba ya CHADEMA. Ibara za Katiba ya CHADEMA zimeishia Ibara ya 9.7 ambayo imo kwenye sura ya Tisa ya Katiba!!
Katiba ya CHADEMA haina Ibara kumi.