Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani yeye mwenyewe hawezi kujituma?Huyu ametumwa na Mbowe hakuna jipya
USSR
Bila Mbowe kukupa hawezi kupata kumbuka ya msigwaKwani yeye mwenyewe hawezi kujituma?
Ulitaka ccm imtume!Huyu ametumwa na Mbowe hakuna jipya
USSR
Inasambaa Kwa Kasi Dunia ipi? Acha kuandika takatakaHii ndio Taarifa Mpya kwa sasa inayosambaa kwa kasi Duniani.
Kwa Maoni yangu ninaona kwamba Huyu Jamaa anafaa na wala sina mashaka naye hata Chembe, Anaijua Kanda ya Pwani, Fitna na sarakasi zake zote anazijua, ni mtu wa Mjini na wala si Mshamba
Tangazo lake hili hapa
View attachment 3084974
Mamluki Msigwa hawezi kuwa wa kumtolea mfanoBila Mbowe kukupa hawezi kupata kumbuka ya msigwa
USSR
Kwamba hawezi kujisimamia mwenyewe? Huko ccm kuna wajinga wengi kweliHuyu ametumwa na Mbowe hakuna jipya
USSR
Umo Duniani?Inasambaa Kwa Kasi Dunia ipi? Acha kuandika takataka
Huyo tumbili msigwa ni bidhaa iliyonunuliwa kwa fedha ya Abduli na mama yake.Bila Mbowe kukupa hawezi kupata kumbuka ya msigwa
USSR
Namkumbuka mzee sumaye!Hii ndio Taarifa Mpya kwa sasa inayosambaa kwa kasi Duniani.
Kwa Maoni yangu ninaona kwamba Huyu Jamaa anafaa na wala sina mashaka naye hata Chembe, Anaijua Kanda ya Pwani, Fitna na sarakasi zake zote anazijua, ni mtu wa Mjini na wala si Mshamba
Tangazo lake hili hapa
View attachment 3084974
Sumu haionjwi πNamkumbuka mzee sumaye!
Akatoka ndukiii!Sumu haionjwi π
Yuko CCMNamkumbuka mzee sumaye!
Alishindwa kwenye uchaguzi ambao Yeye ndiye alikuwa mgombea PekeeAkatoka ndukiii!
Wanaume hawa acha waoneshe DemokrasiaHii ndio Taarifa Mpya kwa sasa inayosambaa kwa kasi Duniani.
Kwa Maoni yangu ninaona kwamba Huyu Jamaa anafaa na wala sina mashaka naye hata Chembe, Anaijua Kanda ya Pwani, Fitna na sarakasi zake zote anazijua, ni mtu wa Mjini na wala si Mshamba
Tangazo lake hili hapa
View attachment 3084974
Chama Cha MajuhaKwamba hawezi kujisimamia mwenyewe? Huko ccm kuna wajinga wengi kweli
kwahivyo kumbe chadema kuna fitna sana, na ni Lazima ujue fitna ili kua kiongozi wa Chadema?Hii ndio Taarifa Mpya kwa sasa inayosambaa kwa kasi Duniani.
Kwa Maoni yangu ninaona kwamba Huyu Jamaa anafaa na wala sina mashaka naye hata Chembe, Anaijua Kanda ya Pwani, Fitna na sarakasi zake zote anazijua, ni mtu wa Mjini na wala si Mshamba
Tangazo lake hili hapa
View attachment 3084974