Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Bonny hanunuliki....Bado mnawaza biashara za kununua watu?
Namjua vyema..."CHA PUA" hicho...
Mtata mtatuzi....jamaa ana moyo mgumu sana....
Ingekuwa yuko kule "palestina hamas" angekuwa mkuu wa "operesheni za kujitoa muhanga na kujilipua "...naye angekuwa AMESHAJILIPUA siku nyingi[emoji1787][emoji1787]
Kulee....atajipeleka tu mwenyewe [emoji1787]