Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
KabisaaaaaaaaChama Cha Majuha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaaaaaaaaChama Cha Majuha
Kama utakuwa ktk siasa lazima kuna mtu utakuwa unamtumikia , huu ndiio mfumo wa siasa dunia nzima. ukitaka uwe huru ingia katika maisha ya diniHuyu ametumwa na Mbowe hakuna jipya
USSR
Mtu na nusu huyo....Hii ndio Taarifa Mpya kwa sasa inayosambaa kwa kasi Duniani.
Kwa Maoni yangu ninaona kwamba Huyu Jamaa anafaa na wala sina mashaka naye hata Chembe, Anaijua Kanda ya Pwani, Fitna na sarakasi zake zote anazijua, ni mtu wa Mjini na wala si Mshamba
Tangazo lake hili hapa
View attachment 3084974
AmenHii ndio aina ya watu wanaotakiwa kuwa viongozi Chadema.
- Anajimudu binafsi kiuchumi, hawezi kuyumbishwa kwa bahasha za khaki toka CCM.
- Amepitia madhila ya serikali ya CCM na polisi wake, anayajua machungu halisi ya kuwa mpinzani.
- Ni mtetezi halisi wa wanyonge wa taifa hili bila kujali itikadi zao, wala dini au rangi, mfano kwenye kupokea na kutangaza watu waliopotea wasiojulikana walipo.
Boniface J. Anastahili hiyo nafasi 100%.
Wewe umetumwa na Lucas?Huyu ametumwa na Mbowe hakuna jipya
USSR
Bado mnawaza biashara za kununua watu?Mtu na nusu huyo....
Bro.Bonny namjua....jamaa ni chuma kweli...
Ninaamini katika siasa zake iko siku huko usoni sana...si karibuni...atahamia tu KULEEE....
#Nchi Kwanza[emoji2956]
Kuna kipindi fulani alikuwa Chadema, kama nakumbuka vizuri😎Yuko CCM
Aliangushwa kwenye uchaguzi wa Kanda ya Pwani, tena akiwa mgombea Pekee! Uliona wapi mambo haya?Kuna kipindi fulani alikuwa Chadema, kama nakumbuka vizuri😎
😀 😀Alishindwa kwenye uchaguzi ambao Yeye ndiye alikuwa mgombea Pekee
Aibu sana!
Baada ya kukoswa kutangulizwa kuzimu na chama cha maharamia!Yuko CCM
Mbowe hajawahi kuwa Mpiga kura Kanda ya Pwani😀 😀
Mbowe alimtisha alipomwambia akaitest sumu kwa ulimi!
Uyu kapita ,mwamba mwenye bahati ya kuzaliwa na mama wawiliHii ndio Taarifa Mpya kwa sasa inayosambaa kwa kasi Duniani.
Kwa Maoni yangu ninaona kwamba Huyu Jamaa anafaa na wala sina mashaka naye hata Chembe, Anaijua Kanda ya Pwani, Fitna na sarakasi zake zote anazijua, ni mtu wa Mjini na wala si Mshamba
Tangazo lake hili hapa
View attachment 3084974
Wewe chawa unatumwa na mchafu wenuHuyu ametumwa na Mbowe hakuna jipya
USSR
NaamUyu kapita ,mwamba mwenye bahati ya kuzaliwa na mama wawili
Yuko kambi ya mbowe au ya lisu?Ni Mtu sahihi.✌️✌️
Unatia aibu ukiwa wapi?Yuko kambi ya mbowe au ya lisu?