Duh! Mkuu umemvaa mchizi jumla jumla sana!!una hoja naye ana hoja ila naona umeamua kuharibu ubora wa hoja yako kwa kuambatanisha matusi ndani yake,hata mimi nikikutana na mtanzania aliyezaliwa tanzania,akaishi na kusoma tanzania halafu aniambie hajui kiswahili kabisa ila kizungu anakijua ntamdharau kwa kuhisi yeye tayari amenidharau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambwembwe meeengi
Acha unaaa
Tunajifunza lugha kama tool na sio eti ni cultural statement,tuna lugha zetu original
Sasa wewe na slave mentality sijui unatokea wapi wakati ni not applicable kabisa!
Kuna superpower,na haijatokea kwa bahati mbaya,dunia nzima tukakubaliana kwamba mikataba na mawasiliano ya financials na kila kitu iwe Kiingereza,sasa wewe peleka matako ya Kiswahili uone!
Na pia usiwe na chuki na mtu anaezungumza lugha tofauti na wewe!
Usitake kila mtu aongee lugha unayoitaka wewe kwa wakati unaotaka wewe!
Una vituko na chuki za kimama sana!
Ndio juhudi za serikali ya ajabu namna hii!
Kuishi Tanzania sio lazima ujue Kiswahili
Kuna watu Tandahimba,Kigoma hata Moshi milimani kabisa huko lugha yake kuu ni ya Kienyeji
Hivi mnaona kila mtu ni lazima Kiswahili akijue?
Majitu yapo biased sana na mnataka dunia nzima Kiswahili ndio iwe standard...mwingine akitaka kuzungumza lugha ingine anayotaka yeye,then mnamshambulia??!
Hii tabia ya Kiswahili supremacists ni ya kipumbavu sana...nikitaka kuzungumza Kichagga niache ni changu,sijui kwanini mpo butt hurt namna hii?!
Wakiguswa wananuka sio kulipukaila jamani maisha magumu jamani [emoji1] yani watu wakiguswa kidogo wanalipuka
Lakini wapo watoto wengi wa kishua lakini ni vichwa maji tu.Huyu dogo ana kitu.Kitu chake ndio cha kukuinspire sio personal life yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wana vipaji mara mia ila hawajulikani kwasabab ya umasikini...hata wewe ungekulia yale mazingira ungekuwa na kitu fulani unique.Huyu binti kajaliwa vipaji vingi na katoka familia tajiri /yenye uwezo na anatumia fursa anazozipata vizuri. Anajielewa na ametengemezewa mazingira ya kujielewa. All the best to her she is inspiring. If you are blessed with certain talents you are blessed haijalishi ni maskini /tajiri juhudi zako ndio zinazomatter.Anaonekana anapenda kile anachofanya kutoka moyoni na anajuhudi. Really inspiring. ...!
Haka katoto jaman kana sauti , kanajua kuimba, kupiga violin , halafu kana akili sana kichwan I, na ni kazuri. Hivi karibuni nimemuona yupo karibu sana na wasafi , na kako karibu sana na Diamond platnums , pia kuna wimbo Mpya wa SUPER WOMAN ambao ameshiriki kuimba na kuandika pamoja na Diamond platnums .
Walahi haka katoto kana kipaji cha kutisha , huyu domo asije tu akafanya kama the late kanumba kwa Lulu , kujifanya anamsaidia kumbe ana yake
Halafu nilisikia umbea ni mtoto wa khadija kopa Sijui ni kweli , mbona katoto ka kishua sana , na kizungu chake sio cha nchi hii , yan inshort this girl ako level za ki international , ako na exposure na elimu yake ndogo imemfanya akokamae kifikra na kihisia , she is so smart , sio kama akina Tunda na lulu[emoji16]
Mungu amsaidie tu afike mbali maana kipaji tu anacho kwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Shida ni kuwa watu wengi mnaingiza utajiri wa kwao na kipaji chake. Nahisi asingekuwa na kipaji tusingemdiscuss hapa na hamna mtu ambaye angeshughulika naeKuna watu wana vipaji mara mia ila hawajulikani kwasabab ya umasikini...hata wewe ungekulia yale mazingira ungekuwa na kitu fulani unique.
Kama mbwa marekani wanapiga mpaka piano unashangaa nini mshua mmoja kucheza violin bongo??
Shida ni kuwa hatuoni haja ya kumdiscuss mtu ambaye haoni thamani ya utanzania.Shida ni kuwa watu wengi mnaingiza utajiri wa kwao na kipaji chake. Nahisi asingekuwa na kipaji tusingemdiscuss hapa na hamna mtu ambaye angeshughulika nae
Hivi lugha inamclassfy mtu? Maana angengea kilugha mngesema ni mkabila.Hiyo ni priority tu ya mtu kiingereza ni lugha kama lugha zingine maisha yamebadilika badilisha Fikra.Jinsi alivyo inatokana na maisha/malezi aliyokulia.Kwanza haringi,anajipenda she loves her black natural colour,anavaa kwa staha,anajiremba kwa wastan that's enough to classify her as a Tanzanian girlShida ni kuwa hatuoni haja ya kumdiscuss mtu ambaye haoni thamani ya utanzania.
Ni sawa na kuanza kumsifia baba ako aliyekukana akaikimbia familia eti ana akili hata kama ni professor kwasababu hakuhusu na hakutaki.
Huyo dogo ni moja ya wale wabongo wasiopenda kuwa wabongo.
Okay bi mkubwa. Wewe utakuwa dada yake maana ningesema utakuwa yeye ningesokea maana yeye hajui kiswahili.Hivi lugha inamclassfy mtu? Maana angengea kilugha mngesema ni mkabila.Hiyo ni priority tu ya mtu kiingereza ni lugha kama lugha zingine maisha yamebadilika badilisha Fikra.Jinsi alivyo inatokana na maisha/malezi aliyokulia.Kwanza haringi,anajipenda she loves her black natural colour,anavaa kwa staha,anajiremba kwa wastan that's enough to classify her as a Tanzanian girl
nyie majamaa Mcqueenen na Wyatt Mathewson mmeharibu kabisa huu uzi... si mpeleke mabishano yenu jukwaa la lugha?
kwanza majina yenu hayana uzalendo afu mnateteana lugha humu kwanini msingejiita MAKWININI na mwingine WATU MATESONI?
Ukiimudu ni vizuri namimi sishangai dogo kujua kiingereza kwasbabu hata kingereza chake cha kawaida mno.Tena majina hayo uliyowapa ni ya Kingereza,ingefaa mmoja tumuite Tutumfye na mwingine Mwakaleli ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Nakubaliana na Wyatt,Kingereza ni lugha inayounganisha mataifa mengi,ukiimudu ni kitu cha ziada...so hongera kwa mdada wetu..
. Mcqueenen mbona unaongea kiswahili..na huongei lugha ya kabila lako?? huo uindigneous sidhani aisee.
Ishu sio kuongea kiingeleza,kijaruo au kijapan ishu ni kuwa unaishi Tz na hujui lugha ya nchi yako.Sio kwasababu ya msingi ila tu unapenda lugha ya kigeni ili uonekane mjanjaMnaopiga kelele watu kuongea kiingereza wakati ndio lugha ya kufundishia kuanzia form one mpaka chuo kikuu mi nawaona wanaafiki tu. Hata hao wabunge wenu wanaowawakalisha huko kijijini kwenu wakiwa Dodoma tunawasikia wakiongea broken zao. Tanzania ni nchi huru kila mtu kwa mpango wake, acheni hizo.