fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
This is what is called "I was born a criminal"
Pamoja na babaake kuwa vizuri na connections kibao na Andre kupelekwa shule vizuri tu na kupata kazi kama law enforcer bado akawa jambazi haha. Yakina Sabaya haya, kusomeshwa marekani na exposures kibao mpaka uDC na bado he kept his criminality up in the society dah!
Pamoja na babaake kuwa vizuri na connections kibao na Andre kupelekwa shule vizuri tu na kupata kazi kama law enforcer bado akawa jambazi haha. Yakina Sabaya haya, kusomeshwa marekani na exposures kibao mpaka uDC na bado he kept his criminality up in the society dah!