CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Hakika unawajua wabongo vizuri we we.Ngoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika unawajua wabongo vizuri we we.Ngoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
Unamaanisha kuwa dalali wa mabeberu,kuwasaidia kuiibia Africa!?...Ukiwa na idea na kuweza kuandika proposal nzuri kuna wenye pesa wanaweza kukudhamini. Hasa ukiwa Ulaya.
Wewe ndio umeanza kumjadili huyo mama badala ya bilionea. Ila kumbuka mke wa bilionea ni bilionea piaNgoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
Dah watu bwana, Jamii forum namambo sana Eti Miss MirathiKwa hiyo couple inaonyesha kabisa huyo mama kammiliki bilionea kisawasawa na ana sauti na nguvu kubwa kwa mzee.
Kama namuona vile mzee Machache R.I.P na miss Mirathi.
Ujue ili iwejeYani hizo hela za kuanzisha telecom alizitoa wapi?? Hapo ndio tunahitaji kujuwa.
Ngoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
[emoji23][emoji23][emoji23]umejuaje..!! yaani me hadi nimem-zoomNgoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
Duh wewe ni mwonaji[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ngoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
.....watasingizia penye mafanikio ya mwanaume, nyuma yake Yupo mwanamke!Ngoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
Ngoja waje wataanza kumjadili huyo Mama badala ya huyo bilionea.
😎😎
Hayo mawazo ya et alikua na mchango flan kwenye maisha..ndo yanawafanya muwe nyuma kila siku...yaan utetez wa wanawake umelala hapo.vi slogan kibao.mara nyuma ya kila mwanaume aliefanikiwa kuna mwanamke..etc etc...these kinds of intuitions/beliefs/sayings will always drag you backSi ajabu walikutana shule na mama ana mchango mkubwa katika mafanikio. Hayo mengine ni mawazo yako.
Acha kabisaaMambo ya pesa Bwana, anaonekana kama mkaka wa 40’s
Yaani kama wazazi wako hawakufanikiwa kufikia mafinikio ya juu kabisa haimaanishi kuwa kufanikiwa hakuwezekani. Au kama wewe unabangaiza haimaanishi haiwezekani kupata mafanikio ya kifedha.Kiongozi mama na baba yangu ni wajasiriamali na mpaka kesho wamemudu maisha ya kawaida tu.Mimi mwenyewe nabangaiza pia kwa jasho na damu. Hii dunia Ina mambo yake mazito, vijana na wengi wameishia pabaya na kujitoa imekuwa ngumu mpaka kesho kwani gharama yake ni kubwa ndo maana kutwa kukenua meno katika media lakini wapo katika tanuru la moto