Mfahamu Black Alien: Mtu mwenye ndoto ya kufanana na viumbe vya ulimwengu mwingine (Aliens)

Wewe mkuu hujaelewa kilichoandikwa ukaanza tu kumshambulia mwandishi! Hapo alipoandika neno karne, anamaanisha huyo black alien ndiyo mtu aliyejifanyia mabadiliko makubwa ya mwili kuliko mwingine yeyote katika karne hii. Hamaanishi kuwa jamaa kaishi karne nzima. Unajivua nguo mkuu, soma kwa makini kabla ya kutukana.
 
Anapata wapi fedha za kufanya hayo.!? Ni mfanyabiashara au!?
 
We umekuja kusoma huo uzi ushafanyiw marekebisho ya kiuandishi so tulia tu, na huo ukosoaji wangu na bujibuji ndo sabab kauedit huo uzi
 
Mtu anajiharibu unasema anajifanyia maboresho. Kwahiyo hapo ni namna ya kuonekana bora zaidi au ?! [emoji34]
 
Mwisho atajiua!

Michael Jackson naye alijibadili sana, lakini mpaka anakufa alikuwa anaonekana bado ana mfadhaiko wa akili.
Michael Jackson hakufanya kwa kusudi la kujibadilisha. Alikuwa na tatizo la Vitiligo, alikuwa anatunia madawa ili kuzuia ile ugonjwa ndo dawa zikabadili ngozi yoote
 
Muhimu content,usahihi kwani anafanya mtihani?

Pia haujalazimishwa kusoma..pita nenda!
 
Huyu ameshafika kwenye kiwango cha juu kabisa cha uwendawazimu (ugonjwa wa akili). Hivi hata hao madaktari wanaomfanyia upasuaji wanakubali vipi kufanya upasuaji wa mabadiliko ya mwili kwa kiwango cha kumbadilisha mwonekano wake wa asili kwa kiwango kikubwa namna hiyo?
 
Dunia ya sasa inaendeshwa na pesa. Ukiwa na pesa hakuna linaloshindikana. Tafuta pesa mkuu utakuja kunielewa.
 
Hio ni biashara mkuu,we hujiulizi kwanini wenye baa huwa wanamuuzia mtu pombe wakati huo hata kusimama hawezi lakini analetewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…