Mfahamu Carlos the Jackal: Gaidi tishio zaidi kuwahi kutokea duniani

Mfahamu Carlos the Jackal: Gaidi tishio zaidi kuwahi kutokea duniani

Uzi wangu unazid kupotea na cha kuongezea ili niubust sina.

Km kuna mdau ana chochote cha kujazia ndio muda sahih huu kabla mambo hayajawa tete zaid.
 
Mie nilijua carlos the jackal wa jamii forums
 
Uzi wangu unazid kupotea na cha kuongezea ili niubust sina.

Km kuna mdau ana chochote cha kujazia ndio muda sahih huu kabla mambo hayajawa tete zaid.
[emoji2][emoji2][emoji2],tayari umeshapotea mkuu.fanya fasta kujazia ili walidi kwenye topic
 
Sina uthibitisho nayo lkn ktk hali ya kawaida hakuna mtu anayefanya mabaya tuuuu asiwe na jema hata chembe, firaun licha ya mabaya yote lkn alimuhudumia musa ndani ya nyumba yake.
Alipo kuwa mtoto
Vipi Mussa alipo anza kupevuka? Sanga likaanza
 
Hivi huyu alikua mvenezuela au chile?..
Hawa ndo wana mapunduzi jamii ya che guevara,,sema yeye alibase operation zake middle east ,germany na europe kwa ujumla..
 
Uzi wangu unazid kupotea na cha kuongezea ili niubust sina.

Km kuna mdau ana chochote cha kujazia ndio muda sahih huu kabla mambo hayajawa tete zaid.
Huyu jamaa alishirikiana na PLFP-GC (peoples Liberation Front for Palestine-General Command kufanya operation mbalimbali middle east na europe ,waki cordinate na Red Army Fanction (RAF) ya germany
 
Back
Top Bottom