EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Alikuwa anatageti jamii ya kiisrael.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PablitoAnaitwa Illich Ramirez Sanchez
Namkubali sana huyu jamaa kama navyomkubali Pablo Emilio Escobar Gaviria "the Patron"
Kuna documentary nying zinazoelezea maisha ya hawa jamaaPablito
Hata wale proud boys wa trump nao magaid kwa mujib wa canada
Mzigo umegoma labda nalazimika kuongeza ujuzWeka hicho kitabu, day of the jackal
[emoji848][emoji3064][emoji23][emoji23],kumbe tunawalaumu bule bodaboda.Huyu mbaba Mhandsome balaa[emoji8][emoji8]
[emoji2][emoji2][emoji2],tayari umeshapotea mkuu.fanya fasta kujazia ili walidi kwenye topicUzi wangu unazid kupotea na cha kuongezea ili niubust sina.
Km kuna mdau ana chochote cha kujazia ndio muda sahih huu kabla mambo hayajawa tete zaid.
Alipo kuwa mtotoSina uthibitisho nayo lkn ktk hali ya kawaida hakuna mtu anayefanya mabaya tuuuu asiwe na jema hata chembe, firaun licha ya mabaya yote lkn alimuhudumia musa ndani ya nyumba yake.
Madini yameisha na kupiga chabo nashindwa[emoji2][emoji2][emoji2],tayari umeshapotea mkuu.fanya fasta kujazia ili walidi kwenye topic
Tatizo lilianza alipotishia maslah ya mwambaAlipo kuwa mtoto
Vipi Mussa alipo anza kupevuka? Sanga likaanza
Muda mwingine wanajibebisha wenyewe[emoji848][emoji3064][emoji23][emoji23],kumbe tunawalaumu bule bodaboda.
Huyu jamaa alishirikiana na PLFP-GC (peoples Liberation Front for Palestine-General Command kufanya operation mbalimbali middle east na europe ,waki cordinate na Red Army Fanction (RAF) ya germanyUzi wangu unazid kupotea na cha kuongezea ili niubust sina.
Km kuna mdau ana chochote cha kujazia ndio muda sahih huu kabla mambo hayajawa tete zaid.