Mfahamu Carlos the Jackal: Gaidi tishio zaidi kuwahi kutokea duniani

Mfahamu Carlos the Jackal: Gaidi tishio zaidi kuwahi kutokea duniani

Asante mkuu kwa elimu nzuri uliyotupa....kingine kumbe tezi dume haichagui rais wala gaidi,maskini wala fukara aisee na mie ngoja nikacheck kabla haijanitokea duh.
 
Kwa maoni yangu aliharibu pale akipoamua kubadili dini
Hizi dini ndugu yangu zina mambo mengi sana na ukizifuatilia sana unaweza kuja changanyikiwa. Umeshawahi kujiuliza kwanini wamarekani weusi wengi hubadili dini na kuwa waislamu wakati walizaliwa na kukulia katika ukristo? Ulishawahi kujiuliza kwanini mzee Fidel Castro haamini katika dini?
 
H
Ndo yule wa kwenye novel ya "The Day of the Jackal"?

Hapana, yule wa kwenye novel alikuwa ni mwingereza jina lake la mwanzo nimelisahau lakini la pili ni Cathlope. He was a professional asassin i.e anafanya mauuaji kwa kulipwa, hakuwa na itikadi za siasa za magharibi wala mashariki.
 

Attachments

  • M Boudia.jpg
    M Boudia.jpg
    3.6 KB · Views: 107
Katika maisha yake huyu jamaa alifanikiwa kupata watoto wangapi? Wako wapi? Kama wapo kuna hata mmoja amejaribu kufuata harakati za baba yao?
Kuna utofauti gani kati ya Gaidi Carlos na magaidi wengine wa sasa ivi! maana naona historia inajionyesha kuwa Carlos aliungwa mkono na baadhi ya mataifa makubwa hadi mtu mmojammoja kama vile mimi mwenyewe,
Yuko wapi mke wake baada ya kukamatwa na milipuko,
Mwisho, vip umri na muonekano wake wa sasa ivi ukoje uko gerezani?
Alitalikiana Na mke wake mwaka 1997 akiwa Gerezani French, ila mwaka 2001 alimuoa Mwanamke mwingine akiwa Gerezani ambaye alikua ni Lawyer wake!
 
Kuna story mtaani kuwa aliwahi ingia kwa malkia eliza, akala vyombo kisha akatokomea kupitia tundu la choo,, maana alimkuta malkia yuko bafuni anaoga. Hii ilikuwa ni kweli au chai tu?
Chai tu hii.
 
img2.thejournal.ie.jpg

Muonekano wa Carlos the jackal sasa hivi..


Katika maisha yake huyu jamaa alifanikiwa kupata watoto wangapi? Wako wapi? Kama wapo kuna hata mmoja amejaribu kufuata harakati za baba yao?
Kuna utofauti gani kati ya Gaidi Carlos na magaidi wengine wa sasa ivi! maana naona historia inajionyesha kuwa Carlos aliungwa mkono na baadhi ya mataifa makubwa hadi mtu mmojammoja kama vile mimi mwenyewe,
Yuko wapi mke wake baada ya kukamatwa na milipuko,
Mwisho, vip umri na muonekano wake wa sasa ivi ukoje uko gerezani?
-Alifanikiwa kuzaa watoto wawili wa kike, 1. Elba Rosa Ramirez 2. Sonia Marine Oriola
-Huyu Elba Rosa yupo ujerumani katika mji wa Neu Ulm
-Hakuna ambae imesikika amefata nyendo za baba yake
-Mke wake alifariki mwaka jana 2015
-Mke wake wa sasa ni aliekuwa mwanasheria wake Isabella Countant Peyre
 
PIA KUNA TOLEO LA PILI HILO LA KWANZA LINAWAONGELEA WATU KAMA
1:CARLOS THE JACKAL(aliyeelezwa hapo juu)
2:FIDEL CASTRO
3:BARACK OBAMA
4:GEORGE .W. BUSH
5:ADOLF HITLER
6:ROBERT MUGABE
7:MUAMAR GHADAFI
8:OSAMA BIN LADEN

NA TOLEO LA PILI INGAWA SIJALOSOMA ILA LINAONGELEA WATU KAMA
1:YESSER ARAFAT
2:IDDI AMIN DADA
3:MICHAEL SAVIMBI
4:CHE GUEVARA
5:HUGO CHAVES

NA WENGINEO WENGI
Hawa wote nilishawasikia kasoro MICHAEL SAVIMBI.
 
Kuna story wakati nakuwa niliisikia kwenye vibanda umiza,eti huyu bwana Carlos alishawahi kuingia kwa Queen wa UK,wakati anatoka ndiyo wakajua alikuwa ni yeye??Ni kweli?
 
Unapomuongelea Carlos usiwasahau pia vikundi alivyoshirikiana navyo katika ujasusi wa dunia enzi hizo kama Red Brigades cha Italy, Japanese Red Army ilokua chini ya Fusako Shigenobu na Kozo Okamoto pamaoja na Baader- Meinhoff cha West Germany kilichohusika na kuteka ndege ya Lifthansa hadi Mogadishu., vikundi hivyo vyote vilikua vinawapigania wapalestina kudai nchi yao toka kwa wazayuni, kutetea maxims, Maoism na communism.
 
Nadhani kwanza tupate maana halisi ya neno Gaidi. Ninachofahamu mimi kwa USA CIA ni shirika la upepelezi lkn kwa RUSSIA CIA ni magaidi, pia ndivyo ilivyo kwa USA huiona KGB kama magaidi lkn KGB kwa RUSSIA ni wapelelezi. Ndivyo ilikuwa kwa Carlos kwa Russia na washirika wake walimuona kama mtu mtiifu lkn kwa USA alionekana kama Gaidi.

mkuu pia nadhan unakumbuka Mandela kwa mabeberu pale SA alikua gaidi kwa wenzake alikua mwanaharakati na at last wakampa na Nobel Prize

ni kama udikteta, Gadafi, Mugabe, Asad, Sadam, Chaves, Castro, Kim Jon Un etc hawa kwa wamagharibi ni madikteta lakini kwao ni watawala bora na wanapendwa

ni katika kuhalalisha jambo basi majina kama gaidi au dikteta hutumika, usishangae mjomba Magu akiwabana wazungu ktk maslahi yao wasipumue ukaambiwa ni Dikteta anatumbua tu majipu bila kufata sheria, tukashawishiwa kuingia mtaani kumpinga yeye na chama chake kinachotawala tokea uhuru wapate mwanya kuweka watu wao watunze maslahi yao
 
Back
Top Bottom