Chausiku siyo Chamchana
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 379
- 230
Mdau naomba kufahamu jina la hicho kitabu kilichoandikwa na Carlos kumsuport Osama.Hapana wakati Osama anafanya yake..Carlos amekwisha dakwa yuko ndani.Ila amewahi kuandika kitabu akimsapoti Osama