Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
- Thread starter
- #41
Fix za kwenye kahawakwa hiyo wanavyosemaga alikwenda kwa malkia wa uingereza ni uongo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fix za kwenye kahawakwa hiyo wanavyosemaga alikwenda kwa malkia wa uingereza ni uongo tu
Hapana ile ni novel tu..lakini mara ya mwisho alivyokurupushwa walimkuta anasoma hicho kitabu...muda wote alikuwa anaitwa Carlos lakini baada ya kukuta hicho anasoma hicho kitabu ndo akaanza kuitwa Carlos the JackalNdo yule wa kwenye novel ya "The Day of the Jackal"?
Osama kafanya tukio september 11 2001 na mpaka leo amekwisha uawa,wakati Carlos alianza kufanya umafia toka miaka ya 70 na mpaka leo yupo..judge for yourselfBado nadhani OSAMA ndio gaidi namba moja.
Hapana wakati Osama anafanya yake..Carlos amekwisha dakwa yuko ndani.Ila amewahi kuandika kitabu akimsapoti OsamaHawajawahi kukutana na osama?
Hahahaaaa..mkuu chai hilo!Kuna story mtaani kuwa aliwahi ingia kwa malkia eliza, akala vyombo kisha akatokomea kupitia tundu la choo,, maana alimkuta malkia yuko bafuni anaoga. Hii ilikuwa ni kweli au chai tu?
Hilo swali alilijibu Mandela..alisema yeye mwenyewe aliitwa gaidi na wakaburu lakini wananchi wake walimuita mkombozi wao...Labda tafsiri inanipa shida huyu jamaa alikuwa gaidi?
Carlos yupo jela toka zama hizo, Osama ametafutwa miaka na marekani. Carlos na ugaidi wake hajawahi kuwa no.1 kwenye list ya most wanted ya marekani. Msimchukulie poa Osama japo kadedishwaOsama kafanya tukio september 11 2001 na mpaka leo amekwisha uawa,wakati Carlos alianza kufanya umafia toka miaka ya 70 na mpaka leo yupo..judge for yourself
Niambie tukio moja Osama alienda front akateka watu na ndege, au akarusha bomu kwa mkono wake..au akamshuti jasusi yoyote na kumuuaCarlos yupo jela toka zama hizo, Osama ametafutwa miaka na marekani. Carlos na ugaidi wake hajawahi kuwa no.1 kwenye list ya most wanted ya marekani. Msimchukulie poa Osama japo kadedishwa
Avatar yako inadhiirisha jamaa bado ni role model wakomiaka ya 90 nilisoma habari zake kupitia vitabu nikamuhusudu sana...by then he was my role model
Majasusi wa nchi nyingi duniani hufanya hayo au hata kuzidi, nafikiri tubadili hicho "kivumishi" cha gaidi labda tuseme mwanaharakati mzaliwa nchi moja Hugo Chavez....Hilo swali alilijibu Mandela..alisema yeye mwenyewe aliitwa gaidi na wakaburu lakini wananchi wake walimuita mkombozi wao...
Lkn mtu huyu hakua Osama bali mtumwa tu wa Osama. Hii ndio tofauti kubwa kati ya Osama na Carlos, Osama alitumia hela kulaghai masikini kujitoa mhanga lkn Carlos alitekeleza matukio yake kwa mkono wake mwenyewe.Duuh! Mie nitakuja kueleza story ya Mtu aliefanikiwa kurusha ndege nne ndani ya Ardhi ya Marekani na kushambulia maeneo mbalimbali ya Marekani
Pia Osama alitumia hela kulaghai masikini kujitoa mhanga lkn Carlos alitekeleza matukio yake kwa mkono wake binafsi. Carlos ni habari nyingine.Osama kafanya tukio september 11 2001 na mpaka leo amekwisha uawa,wakati Carlos alianza kufanya umafia toka miaka ya 70 na mpaka leo yupo..judge for yourself
Tehetehee tehetehee! Nimekumbuka miaka ya 80_90 tukiwa Shule tulitumia sana majina ya Jacle na Escobar Pablo, tuliwachukia sana wazungu tukiwaita Mabeberu na makaburu.carlos mwenyewe ndio mimi teh teh teh...
Carlos katekeleza harakati zake dhidi ya mataifa mbali mbali kwa muda mrefu. Hata siku alipokamatwa ilisemwa kilichomponza ni kupenda kwake starehe lkn isingekuwa hivyo jamaa angesumbua zaidi.Osama kafanya tukio september 11 2001 na mpaka leo amekwisha uawa,wakati Carlos alianza kufanya umafia toka miaka ya 70 na mpaka leo yupo..judge for yourself