Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
haya umechepuka kwenye mtego wangu. ungetaja jina kama Osama au Lugumi ningejua wewe tayari muhitimu kwenye shughuli hizolowassa ze mvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya umechepuka kwenye mtego wangu. ungetaja jina kama Osama au Lugumi ningejua wewe tayari muhitimu kwenye shughuli hizolowassa ze mvi
hahaaaaaa jombaaa nilistukia mtego wakohaya umechepuka kwenye mtego wangu. ungetaja jina kama Osama au Lugumi ningejua wewe tayari muhitimu kwenye shughuli hizo
Bado yupo jela au dead!Wakuu bado yupo hela au dead.
Osama alikuwa haendi front. Alikuwa MuogaBado nadhani OSAMA ndio gaidi namba moja.
Samahani naomba kuuliza hivi ni Michael Savimbi au Jonas Savimbi?PIA KUNA TOLEO LA PILI HILO LA KWANZA LINAWAONGELEA WATU KAMA
1:CARLOS THE JACKAL(aliyeelezwa hapo juu)
2:FIDEL CASTRO
3:BARACK OBAMA
4:GEORGE .W. BUSH
5:ADOLF HITLER
6:ROBERT MUGABE
7:MUAMAR GHADAFI
8:OSAMA BIN LADEN
NA TOLEO LA PILI INGAWA SIJALOSOMA ILA LINAONGELEA WATU KAMA
1:YESSER ARAFAT
2:IDDI AMIN DADA
3:MICHAEL SAVIMBI
4:CHE GUEVARA
5:HUGO CHAVES
NA WENGINEO WENGI
Chai tupuZamani tulikua tukiongopeana Shule eti Carlos aliwahi kukamatwa ila kwa vile walikua hawamjui vizuri wakamuuliza "Wewe ndio Carlos?" Akawajibu "Nikitoroka jela mimi ndio Carlos ila nisipotoroka basi mimi sio Carlos,
Eti ilipofika asubuhi hawakumkuta kwani alikua kisha toroka!!
Amejaribu tu nae kuandika kingreza jamani kwani kuna ubaya?kwa hiyo na wewe unajifunza UGAIDI.
unajua vizuri maana ya ROLE MODEL
Inawezekana ikawa kweli lkn alitekeleza hayo maagizo kwa mkono wake.Kwa esabu ya haraka tu...Carlos aliendeshwa kama remote na Russia, vyote alivyofanya na mipango yake yote iliendeshwa kwa kiasi kikubwa na KGB
At first alikuwa Mwanamapinduzi kama Che Guevara but later akawa anatumika na hayo mataifa kufanya Ugaidi na Mauaji so hapo ndio akaitwa GaidiLabda tafsiri inanipa shida huyu jamaa alikuwa gaidi?
Amejaribu tu nae kuandika kingreza jamani kwani kuna ubaya?kukurupuka huku mwisho wa siku unajidhalilisha jombaa hivi unajua kiengereza wewe..?kumbe mpo wengi humu mapopoma nimesema by then he WAS...
Bado yupo gerezani na sidhani kama kuna kuja kiachiwa huru akiwa hai.Bado yupo jela au dead!
Mh! Hivi Carlos alikamatwa na milipuko???!!!Katika maisha yake huyu jamaa alifanikiwa kupata watoto wangapi? Wako wapi? Kama wapo kuna hata mmoja amejaribu kufuata harakati za baba yao?
Kuna utofauti gani kati ya Gaidi Carlos na magaidi wengine wa sasa ivi! maana naona historia inajionyesha kuwa Carlos aliungwa mkono na baadhi ya mataifa makubwa hadi mtu mmojammoja kama vile mimi mwenyewe,
Yuko wapi mke wake baada ya kukamatwa na milipuko,
Mwisho, vip umri na muonekano wake wa sasa ivi ukoje uko gerezani?
Nadhani kwanza tupate maana halisi ya neno Gaidi. Ninachofahamu mimi kwa USA CIA ni shirika la upepelezi lkn kwa RUSSIA CIA ni magaidi, pia ndivyo ilivyo kwa USA huiona KGB kama magaidi lkn KGB kwa RUSSIA ni wapelelezi. Ndivyo ilikuwa kwa Carlos kwa Russia na washirika wake walimuona kama mtu mtiifu lkn kwa USA alionekana kama Gaidi.At first alikuwa Mwanamapinduzi kama Che Guevara but later akawa anatumika na hayo mataifa kufanya Ugaidi na Mauaji so hapo ndio akaitwa Gaidi
Mwambie huyo mkuu alafu watu wenye tabia kama hizi zina keraKwahiyo ulivyo copy stori yote uliona raha.....
shwain
Kila zama na kitabu chake, zama za Carlos zilikuwa za vita baridi ukiwa against na nchi za magharibi basi utapata sapoti ya Urusi. Lakini Osama alitumia gia ya waislamu ushuzi kutimiza agenda zake.Katika maisha yake huyu jamaa alifanikiwa kupata watoto wangapi? Wako wapi? Kama wapo kuna hata mmoja amejaribu kufuata harakati za baba yao?
Kuna utofauti gani kati ya Gaidi Carlos na magaidi wengine wa sasa ivi! maana naona historia inajionyesha kuwa Carlos aliungwa mkono na baadhi ya mataifa makubwa hadi mtu mmojammoja kama vile mimi mwenyewe,
Yuko wapi mke wake baada ya kukamatwa na milipuko,
Mwisho, vip umri na muonekano wake wa sasa ivi ukoje uko gerezani?