Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani usingequote thread mzima kwani post yako isingoleonekanaMkuu, you have done my day, Hakuna gaidi atakayekuja kumzidi Carlos.
jamaa alikuwa ni hatari ile mbaya, Nataka nije niwaombe serikali ya France endapo wataniruhusu niende France nikafanye naye mahojiano na kisha nitoe kitabu kuhusu ugaidi wake na maisha yake kabla hajafa
Osama mtoto wa juzi tu. Tena kwa technics za Carlos nadhani Osama hatoboi. Osama alikua akitumia watu kutekeleza matukio yake mengi lkn Carlos alitekeleza matukio yake kwa mkono wake mwenyewe. Carlos ni habari nyingine ndugu.Hawajawahi kukutana na osama?
Sawa ndugu. Binafsi ninaamini hivyo kuwa hawa jamaa ni uzao wa vita baridi japo Osama ni kama alihasi akawa anadhuru kambi za CIA na USA kwa ujumla lkn Carlos alidhuru wale waliokua na ukaribu na USA. Sikuwahi sikia Carlos amedhuru kambi zilizokua na mahusiano na USSR.Bado nitaendelea kuamini kuwa
Osama alikuwa ni CIA
Carlos alikuwa ni KGB
Daah Dunia hii wamepita watu wa aina yake...
Hahahahahaha... aliwapinga Waisrael kutokana na itikadi alizokuzwa kwazo.Nimemchukia kwasababu aliwapinga Waisrael
hamna kitu hichoKuna story mtaani kuwa aliwahi ingia kwa malkia eliza, akala vyombo kisha akatokomea kupitia tundu la choo,, maana alimkuta malkia yuko bafuni anaoga. Hii ilikuwa ni kweli au chai tu?
Bado yupo hai,katika gereza lenye ulinzi mkali huko ufaransaYupo hai au alisha fariki? Kwa sa hvi haitatokea tena kuwa na watu kama hawa aisee du! noma sana