Mfahamu Double Agent wa CIA na EIJ aliyemfundisha OSAMA mbinu za kigaidi na vita

Mfahamu Double Agent wa CIA na EIJ aliyemfundisha OSAMA mbinu za kigaidi na vita

Mkuu asante kwa jumbe yako inaonekana huyu jamaa alikuwa anaaminika ktk jeshi LA marekani ndio maana hata ilipoandikwa report kuhusu yeye waliipuzia madhara Yake yakaonekana ktk barozi sake za Kenya na tz.hakika sio vzr kuudhia jambo
 
Marekan km kawaida yao ni kupanua makolon yao ya ulimwengu wa sasa. Kwa mfano walianza na hao ulaya mashariki wakasambaratisha kwa sasa karibia eneo hilo lote ni lao, watawala wa karibia nchi za ulaya mashariki wana mizizi ya America. Mashariki ya kat pia ni hivyo tu, napo kuna mizizi yao japo walitaka kuwatingisha kidogo, ila karibia tawala zote za nchi za kiaraabu viongozi wote ni miguu juu kifo cha mende. Hao ndio Americano si watu sport- sport.
 
Marekan km kawaida yao ni kupanua makolon yao ya ulimwengu wa sasa. Kwa mfano walianza na hao ulaya mashariki wakasambaratisha kwa sasa karibia eneo hilo lote ni lao, watawala wa karibia nchi za ulaya mashariki wana mizizi ya America. Mashariki ya kat pia ni hivyo tu, napo kuna mizizi yao japo walitaka kuwatingisha kidogo, ila karibia tawala zote za nchi za kiaraabu viongozi wote ni miguu juu kifo cha mende. Hao ndio Americano si watu sport- sport.
Wamarekani ni watu hatari sana
 
Marekan km kawaida yao ni kupanua makolon yao ya ulimwengu wa sasa. Kwa mfano walianza na hao ulaya mashariki wakasambaratisha kwa sasa karibia eneo hilo lote ni lao, watawala wa karibia nchi za ulaya mashariki wana mizizi ya America. Mashariki ya kat pia ni hivyo tu, napo kuna mizizi yao japo walitaka kuwatingisha kidogo, ila karibia tawala zote za nchi za kiaraabu viongozi wote ni miguu juu kifo cha mende. Hao ndio Americano si watu sport- sport.
Nchi za kiarabu zimejaa vibaraka wa US
 
Mkuu asante kwa jumbe yako inaonekana huyu jamaa alikuwa anaaminika ktk jeshi LA marekani ndio maana hata ilipoandikwa report kuhusu yeye waliipuzia madhara Yake yakaonekana ktk barozi sake za Kenya na tz.hakika sio vzr kuudhia jambo
Alikuwa kwenye mission ya CIA, karibu kila alichofanya yalikuwa ni maelekezo ya waajiri wake
 
Mwisho wa siku ISIS pia ni zao la C.I.A
Gaidi namba moja duniani ni USA
Bin Laden didn't blow up the projects, Bush knocked down the towers
 
Ujasusi ni kitu kingine ndio maana hata hapa bongo wanasiasa wanaodhani wameweka mfukoni idara za ujasusi hawajui kuwa wao ndio wamewekwa mfukoni!!
Ukiona jinsi FBI na CIA wanavyoshiriki kwenye uchafu lakini wakiwa na projection za matunda bora baadae kwa Marekani ndio hapo unapoheshimu movement za kijasusi kama nguzo za taifa lolote.
Tuwape TISS mradi wa gesi bana wakue kama CIA (msinitoe macho).


Mkuu watu hawahamu undani Wa taaluma hiyo. Ukiona katika mafunzo ya jambo lolote unafundishwa kutomuamini yeyote hata waliokuzaa ujue hiyo taaluma ni ya pili baada ya Theology katika umuhimu.
 
Ujasusi ni kitu kingine ndio maana hata hapa bongo wanasiasa wanaodhani wameweka mfukoni idara za ujasusi hawajui kuwa wao ndio wamewekwa mfukoni!!
Ukiona jinsi FBI na CIA wanavyoshiriki kwenye uchafu lakini wakiwa na projection za matunda bora baadae kwa Marekani ndio hapo unapoheshimu movement za kijasusi kama nguzo za taifa lolote.
Tuwape TISS mradi wa gesi bana wakue kama CIA (msinitoe macho).


Mkuu watu hawahamu undani Wa taaluma hiyo. Ukiona katika mafunzo ya jambo lolote unafundishwa kutomuamini yeyote hata waliokuzaa ujue hiyo taaluma ni ya pili baada ya Theology katika umuhimu.
 
Mwisho wa siku ISIS pia ni zao la C.I.A
Gaidi namba moja duniani ni USA
Bin Laden didn't blow up the projects, Bush knocked down the towers
Hiyo ni siri iliyowazi Mkuu.
 
Back
Top Bottom