OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Uko sawa lakini ujasusi ndio roho ya dola!!!!!Kweli kabisa, inabidi tubadilike nasi kwani miaka hii siyo ya kipindi kile cha 60's na 70's.
Sasa iko hivi,kuimarisha ujasusi ni kuondoa watu wenye hila na siasa bila hila ni kitendawili hapo!!!
Umejiuliza kwa nini mataifa yenye nguvu yanathamini sana hii kitu????!!!!