Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ww utajiri wako ni kumiliki mashamba ya viazi!??Utajiri ni magari?Huu ni uzumbukuku!
Nyie ndio wale kila mkiona mzungu mnadhani ni padri
KwakweliDuh aiseee kuna watu wanaishi
Ukisha kuwa na uwezo wa kuimiliki, spare sio tatizo, ni swala la email moja na malipo, spare inakufikia toka huko duniani hadi mahala ulipo.Na spea
Gari nzuri sana hizo ila sema mazingira yamegomaKweli kabisa mimi naamini hapa bongo kuna watu wana uwezo wa kumiliki hayo ma Lambo, Ferrari , RR etc lakini tatizo barabara
Mnajifariji tu hayo magari hadi bandarini na uyalipie kodi hadi yaingie barabarani ni zaidi ya bilioniGari nzuri sana hizo ila sema mazingira yamegoma
Mzee baba hapa Bongo wenye uwezo wa kuyanunua hayo wapo sana tuMnajifariji tu hayo magari hadi bandarini na uyalipie kodi hadi yaingie barabarani ni zaidi ya bilioni
Hoja ya ajabu kabisa very interestingCha ajabu ameshindwa kupanda yote kwa wakat mmoja
Ndo maana anapiga nayo picha tu
Ko ss tunachojua ana gari moja tu analopanda mda huo Ndo lake