Mfahamu Hoyce Temu katika ulimwengu wa Diplomasia na Mahusiano ya Kimataifa

Imekaa vizuri
 
Habari ya ziwa Nyasa ni above uwezo wako wa kuelewa. Haiwezi kuwa sababu ya JK. Kwa taarifa yako mwaka 1967, Kamuzu Banda aliwahi kukianzisha na Nyerere akamtuliza.

COW ingekuwa imefaulu basi ingeendelea ku sustain. I hope JK alifanya vizuri hapa kama mbobezi wa diplomasia za kimataifa
 
Ok, nimeona kwenye profile yake kuwa Ni mwandishi wa habari na mfanyabiashara.
Nani atasimamia BIASHARA zake as you know, BIASHARA za bongo usipokuwepo mapepo yanazifilisi?
Wewe ungeteuliwa ingekuwaje mkuu?
 
Mwambie kikwete ndie alie mpeleka pita akachukue nchi pale.
Amuulize yule mama aichofanyiwa hadi peter kushika madaraka.
Maana yule mama alipokaa kwenye serkali ya mpito ndie alieanza kuongea ongea.
Pita alipoingia alimwambia jk aende wakale samaki wa ziwa lao.
 
Mwacheni huyu mtoto yatima ,laita ungejua jinsi alivyo kulia shida ,usingetoa kauli hizi,bali ungeshukuru uweza wa Mungu aliomfikisha hapo
 
Magufuli alituharibia nchi na hakuna namna ya kumsafisha tukasahau mambo yake
 
Ameolewa?
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mwacheni huyu mtoto yatima ,laita ungejua jinsi alivyo kulia shida ,usingetoa kauli hizi,bali ungeshukuru uweza wa Mungu aliomfikisha hapo
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mwacheni huyu mtoto yatima ,laita ungejua jinsi alivyo kulia shida ,usingetoa kauli hizi,bali ungeshukuru uweza wa Mungu aliomfikisha hapo
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mwacheni huyu mtoto yatima ,laita ungejua jinsi alivyo kulia shida ,usingetoa kauli hizi,bali ungeshukuru uweza wa Mungu aliomfikisha hapo
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mwacheni huyu mtoto yatima ,laita ungejua jinsi alivyo kulia shida ,usingetoa kauli hizi,bali ungeshukuru uweza wa Mungu aliomfikisha hapo
Inatia moyo kwa binti kama yeye aliyetokea maisha ya Arusha police line( Kwa mujibu wa mdogo wake mwenye matusi mengi na explicit clips mtandaoni bi raheli)

Akasoma akaweka nia ya kujiendeleza mpaka pale EoTf ya mama mkapa(Uchaga na luck hapa) ikamsaidia kwenda America Wartburg college and then akapigana akaingia Arizona State University. Maana hata mdogo wake alishindwa kufocus na college huku ukiwa mzamiaji marekani ni kazi ngumu akaishia kuwa hustler.

Karudi dada kajiongeza akawa mwandishi wa habari , connection huku na huku mara paap Balozi mushi na network ya wakati huo ya kina lundenga akapata kazi UN, kwa kipaji kikubwa akamkamata Country don Alvaro rodriguez. Ni juhudi binafsi na determination ngumu wanazopitia wanawake hapa africa.

Bado akasoma PGD na MA saut. Kwa kweli anastahili pongezi na kupewa moyo safari kama hizi sio wote wanaziweza japo wanawake wengi huku trid world wanapitia ngazi kama hizi lakini this one was boombaclat man!

Tumpatie hongera na kazi iendelee.
 
Ok, nimeona kwenye profile yake kuwa Ni mwandishi wa habari na mfanyabiashara.
Nani atasimamia BIASHARA zake as you know, BIASHARA za bongo usipokuwepo mapepo yanazifilisi?
nafikiri ataacha biashara maana akipewa ubalozi nje ya nchi atatengeneza kipato kizuri naamini kushinda hizo biashara zake ambazo naamini ni ndogondogo tu si za kiwango cha akina bakhresa au mo. nampa hongera binti na kwa uhakika mama hajakosea kumteua kwani anayo elimu na uzoefu pia hapo
 
... zama zile "Temu" asingekaa ajulikane asilani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…