Akiwa na Kilumanga. ..baba yake Chabaka KilumangaAlikuwa waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu na alifariki 1980 akitokea Entebbe Uganda, na ndege iliangukia Arusha, unaweza kusearch Hussein Shekilango nafikiri unaweza kupata data zaidi.
Usije tu kusema na SHETANI asili yake ni Tanga
Stanting huenzia utotoni na madhara huonekana ukubwani!I thought this was a serious question........ipo kona ya jokes kuleee ama ndio miafrika?Au udumavu?
Kuna mtu nilikutana naye miaka ya 80's anaitwa Musa Shekilango. Is he related to this Hero??!Pia kuna mwanae wa kike ni msagaji mashuhuri jijini DSM!
Yamakagashi,Huku tunapoenda naona unanilazimisha kukukosea heshima
Kwa sababu iam brave enough sitofanya hivyo
Endelea na hekaya zako
Mimi nipo namsoma Shakespeare hapa ,Hekaya zako nasoma nikiwa sina cha kufanya kupoteza muda hivyo kuniwekea picha zako hazisaidii unapoteza nguvu bure
Umekosewa wapi heshima ? Hebu jiheshimu ,wazazi wangu hujui walipo wewe na hujui walivyo nilea ,kama unataka tuende personal iam good at that too
Eleza kwanini kwenye hekaya zako hujawahi kuongelea Zanzibar kutokuwa na rais Mkristo
Huwezi kujibu kwanini Zanzibar hakuna Rais mkristo ila kila siku uko na Nyerere na Uislamu ,oh uhuru ,oh bibi Titi alikuwa sijui nani ,oh Mama Maria Nyerere alikuwa sijui na duka la mafuta taa Magomeni ,Mwanae Andrew akakataa mama yake hakuwa na duka hilo
Kama sio hekaya hizi ni nini ?
Endelea na Hekaya zako
Mimi nimemaliza
Unasema Shakespeare sio wa kutishiwa wewe ? Sasa wewe una tofauti gani na Shigongo ?Yamakagashi,
Kama kunivunjia adabu hilo ushalifanya na ndiyo imetufikisha hapa kwa mimi
kukuonyesha kuwa nayaweza pia.
Kuhusu Shakespeare labda nikutahadharisha jambo.
Nimefanya fasihi Cambridge Examination 1970 na katika hayo ya Kiingereza
ikutoshe kuwa nimetoka na First Class Merit Pass English Oral yaani mtihani
wa kuzungumza Kiingereza.
Katika moja ya vitabu nilivyotahiniwa ni Shakespeare.
Sasa acha hayo maneno ya Shakespeare wa kutishwa na Shakespeare si mimi.
Nimefanya English Elocution ''passage,'' yangu kutoka kwa Shakespeare ''Julius
Caesar.''
''Into what dangers would you lead me Cassius...''
Malizia wewe...
Hili la kwanza la pili mimi niko katika jopo la waandishi wa Oxford University
Press wanaoshughulika na usomeshaji wa lugha ya Kiingereza kwa shule za
msingi Afrika ya Mashariki.
Nishaandika vitabu viwili katika mradi huo kimoja kwa shule za msingi na kingine
kwa ajili ya shule za sekondari na vitabu vyote viko katika mtaala Kenya.
Nakuwekea hapo chini toleo la kwanza na la pili la moja ya kitabu changu:
Mohamed Said: OXFORD UNIVERSITY PRESS WATOA TOLEO LA PILI LA "THE TORCH ON KILIMANJARO" KITABU CHA WATOTO CHA MWANDISHI MOHAMED SAID
Kwa hiyo mimi si wa kutishwa na mambo ya Shakespeare tafuta mtu mwingine lakini
si Mohamed Said.
Njoo na hiyo unayoita personal nakukaribisha.
Ungekuwa wewe mama yako kakufunza adabu hiyo adabu mimi ningeiona katika kauli
yako.
Wewe unasema mimi naandika hekaya.
Umenitukana kwa kuwa mimi si mwandishi wa hekaya na nimezunguka duniani kwingi
nikahadhiri historia ya Tanganyika katika vyuo vya kutajika na nimekuwekea usome.
Ungekuwa na akili na adabu ingekutosha kujua kuwa umekosea na ngalau hata kama
usingenitaka radhi basi ungerudi na adabu zako kamili.
Unazidi kudhihirisha umbumbu wako licha ya kukuelekeza kuwa hilo suala lako la rais
Mkristo Zanzibar ni kichekesho, ungekuwa na akili ungefanya utafiti niliokushauri.
Lakini nitakujibu swali lako kwa kuwa wewe huna uwezo wa kujua jibu la swali ulikouliza.
Rais wa nchi na jamii katika nchi yeyote iliyokuwa koloni inachukua uongozi katika nchi
kwa kushiriki katika siasa za ukombozi.
Umepata kuona au kusoma popote pale au angalau kusikia kuwa katika vyama vya
ukombozi Zanzibar, Hizbu, ASP na baadae Umma Party kama kulikuwa na Wakristo
wanapigania uhuru wa visiwa hivyo?
Au umepata kumuona Mkristo yeyote Zanzibar aliyekuwa na nguvu za kisiasa kiasi
aweze kugombea kuingoza nchi?
Mwisho kumbe lililokuchoma ni historia ya Ali Msham na duka la mafuta la Mama
Maria Nyerere.
Kwani wewe ulipata kumsikia Mshume Kiyate katika historia ya TANU na historia ya
Nyerere kabla mimi sijamtaja?
Mshume Kiyate na Nyerere 1964
Tuseme kwa kuwa hakupata kutajwa popote ndiyo Mshume Kiyate hakuwepo?
Mshume Kiyate alikuwapo na alikuwa rafiki mkubwa sana wa familia ya Nyerere.
Halikadhalika Mama Maria katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika na yeye
alishiriki kama walivyoshiriki wazalendo wengine na akakumbnana na dhiki kama
zilizowapata wazalendo wengi katika TANU.
Hii biashara ya mafuta Mama Maria Nyerere aliifanya pia Mtaa wa Mchikichi karibu na
nyumba ya Mwalimu Bahia.
Huyu Mwalimu Bahia mimi ni shangazi yangu.
Mshume Kiyate, Ali Msham na Mwalimu Bahia si ''hekaya.''
Hawa walikuwapo na walishirikiana na Mwalimu Nyerere bega kwa bega katika kupigania
uhuru wa Tanganyika.
Kulia Ali Msham aliyekaa ni Mwalimu Julius Nyerere 1955
Unasema Shakespeare sio wa kutishiwa wewe ? Sasa wewe una tofauti gani na Shigongo ?
Acha kumfananisha Shakespeare na vitu vya ajabu
Haya umezunguka kote huko faida yake ndio kuja na hizi hekaya , Je usingekuwa umezunguka ingekuwaje ?
Na wewe ni mwanazuoni ?
Unajitapa hapa na Hekaya zako kina Socrates sijui wasemaje
Endelea kuwafurahisha wanahekaya wenzako
Mimi sidanganyiki
Halafu kuna sifa moja mwanaume anayo ni uwezo wa kustahimili jambo ,nakuzunguka kote huko umekosa kujifunza hilo au ulikuwa unashangaa magorofa tu
Usitake kila mtu akubaliane na sumu zako
Hizo First Class pass zako zinasaidia nini uma kama hamna Legacy yoyote unayoacha zaidi ya kupigania udini ?
You are a disgrace to this Nation
Si dhambi kuandika lolote au chochote IMA la muhimu Lowe/kiwete chenye ukweli uliotafitiwa kama ufanyavyo Mohammed Said. Kila mtu ana kwao, kama wewe imetokea bahati kwako kuwa wapigania uhuru wa Tanganyika ni "wazee wako wa Kariakoo", hiyo kwako ni neema sana na wala si dhambi.Yamakagashi,
Yawezekana katika malezi yako hukufunzwa adabu kwa hiyo unadhani unaweza
kusema lolote na chochote hadharani kwa namna yoyote.
Inawezekana pia uwezo wako wa akili ni hafifu kiasi hujui tofauti ya kitabu cha Aesop
na kazi ya kisomi inayochapwa katika jarida la kisomi ikawa haya yote kwako ni sawa
kama unavyosema kuwa ni ''hekaya.''
Inawezekana nikakueleza kuwa majarida makubwa kama Cambridge Journal of African
History wamechapa mapitio ya kitabu changu yalioandikwa na wanahistoria mashuhuru
duniani kama John Iliffe, James Brennan na Jonathon Glassman ikawe wewe hulijui hilo
jarida wala huwajui hao wanahistoria.
Inawezekana dunia yako imezungukwa na ujinga.
Sasa tuje katika swali la kwa nini Mkristo hawi rais Zanzibar.
Unataka mimi nikujibu swali hilo.
Hakika swali hilo nimeliona na nililipuuza kwa kuwa si kawaida yangu kujibu maswali
ya vichekesho.
Lakini ili kuistua akili yako nami nitakuuliza swali unazijua takwimu za Zanzibar katika
mgawanyo wa watu na imani zao?
Unaijua historia ya Zanzibar?
Fanya utafiti jibu lako utalipata hapo.
Nimekuita mpuuzi kwa kuwa hakika wewe ni zaidi ya mpuuzi.
Hujui kitu lakini unajiaminisha kuwa unaweza kusimama na mimi katika historia ya
Tanganyika.
Mjinga tu ndiye asiweza kujipima na kujua uwezo wake.
Nakuwekea picha niliyopiga miaka 30 iliyopita nikifanya kipindi cha historia BBC
Glasgow Uskochi.
Yamakagashi,
Hapo juu ndiko nilikotoka mimi na ni wakati huo nikiwa kijana mdogo nikiandika na magazeti mashuhuri Afrika kama New African, Africa Events na Africa Analysis.
Kuwa na adabu kidogo.
Aliwahi kuwa RC wa DSMKaka Joka Kuu,
Mzee Hussein Shekilango aliwahi kuwa Mbunge wa Korogwe na Baadaye alikuwa waziri Wa Nchi Ofisi Ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Utawala (Nafikiri utakuwa unawafahamu watumishi wa namna hii).Mzee Shekilango alikuwa mtu wa karibu sana na Rais Nyerere (RIP) na Waziri Mkuu wa wakati huo Mh.Edward Sokoine (RIP).
Ilikuwa mwezi May/1980 Mzee Shekilango pamoja na watumishi wengine wa serikali na Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi walipata ajali ya ndege huko Arusha na kufariki.Mzee Shekilango na ujumbe wake walikuwa wanasafiri kwa ndege ndogo kutoka Arusha kwenda Entebbe.Ikumbukwe kuwa kipindi hicho tulikuwa katika vita na Utawala wa Amin,na inasemekana Mzee Shekilango alikuwa ametumwa na Rais kwa kazi maalumu huko Uganda.
Sina Ufahamu ni nani alipendekeza Jina la Barabara ile ya Shekilango (Mwenge/sinza) lakini Shekilango anahesabiwa kama shujaa,kwa sababu alikufa kazini na katika shughuli za Vita vya Kagera.Mtoto wa Kiume wa Marehemu Shekilango alikuwa mmojawapo ya wanachama wa CCM 19 walioomba Ubunge wa Korogwe -Magharibi katika Uchaguzi Mkuu wa 2005.
Unasema Shakespeare sio wa kutishiwa wewe ? Sasa wewe una tofauti gani na Shigongo ?
Acha kumfananisha Shakespeare na vitu vya ajabu
Haya umezunguka kote huko faida yake ndio kuja na hizi hekaya , Je usingekuwa umezunguka ingekuwaje ?
Na wewe ni mwanazuoni ?
Unajitapa hapa na Hekaya zako kina Socrates sijui wasemaje
Endelea kuwafurahisha wanahekaya wenzako
Mimi sidanganyiki
Halafu kuna sifa moja mwanaume anayo ni uwezo wa kustahimili jambo ,nakuzunguka kote huko umekosa kujifunza hilo au ulikuwa unashangaa magorofa tu
Usitake kila mtu akubaliane na sumu zako
Hizo First Class pass zako zinasaidia nini uma kama hamna Legacy yoyote unayoacha zaidi ya kupigania udini ?
You are a disgrace to this Nation
daraja la kikwete malagarasi na daraja la rufiji linaitwa mkapaOcean Road imekabidhiwa Obama kama shukran ya kuitembelea nchi yetu. Old Bagamoyo road ishabatizwa Mwai Kibaki. Siku hizi rair wa nje akija tunamzawadia barabara.
Usisahau JK na Mkapa bado hawajakabidhiwa barabara. Wao bado wanatesa na madaraja tu.