Mfahamu Hussein Shekilango, aliyepewa barabara Dar (Bamaga - Urafiki) kutambua mchango wake kwa Taifa

Saivi ukitaka mtaa uitwe jina lako au barabara basi we nenda porini huko

au nnje ya mji kabisa,anzisha makazi taratibu mji unapokua ukikufata kule ulipo

wewe ndio utakua mwenyeji wa eneo lile na kifuatacho utajikuta ukiitwa "mzee wa kijiji"

au kijiji cha mzee simba mtoto. ILA haya mambo ya kujenga hku mijini tunabanana humu

sahau kuona jina lako likitumika popote pale.
 
she ni baba shelukindo ni baba lukindo
 
Ni kweli pale Mombo kuna shule ya sekondari Shekilango!
 
1979 std 5
Heshma yako kaka Mwikimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…