Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Mungu hawez kukupa kila kitu,uzuri wote ule lakini majamaa hayana mpango wa kumuweka ndaniAliongoza chama cha wanafunzi wakaenda US akiwa UD, alidate na Domo pia Kiba100 ,alikuwa na brand yake kama KP ikamfia.Baadae akaenda kutangaza Channel O na kutoa single zake hadi na wanigeria.
Alipendwa na mkulu Marehemu na hatimaye kaona ndoa inagoma kaamua kuzaa na Vunjabei. mwanakwaya wetu ana bahati kasoro ndoa
tuna viswaswadu uwoya kafanya nin?Tuko bize na uwoya kwanza!!
Tatizo huyu manzi ni mdogo. Angekuwa rika la Asha Baraka ungetumwagia data za hatari hapa.Watuweke na maisha yao sasa [emoji1]
Ova
Rihanna = RiriJojo? unazani jina limetoka mtandaoni kama kidoti?
Kahiyo Wema = WeweRihanna = Riri
Jokate = Jojo
The list goes on and on na si jojo(pipi) kama unavyojaribu kulazimisha tafsiri.
Angetaka naye kutumia AKA hiyo is isingekuwa tatizo, lakini kuna celebrities hasa wa USA wanaotumia utaratibu huo.Kahiyo Wema = Wewe
Ndio ana mimba ila we shika mazuri yake tu,na mabaya weka kapuniKwa sasa anamimba au hana
Kumbuka Jokate alikuwa na GPA ya 4.0 chuo kikuu UDSM, hii GPA sio kusema ni
Yuko vizuri. May Almighty God bless her.
KabisaWema Sepetu tatizo ni skendo nyingi sana ambazo zishamuharibia image ya kulamba teuzi serikalini. Laiti angekuwa katulia kwa miaka hata miwili hivi angelamba hata teuzi za idara za vitengo vya ukalimani, maana lile yai analolitema kiukweli hatuwezi kulibeza, anakichapa kiingereza si mchezo.
Jojo ni jokate na John Mnyika walikua wapenzi enzi wako UD rafiki wakachukua initial zaoRihanna = Riri
Jokate = Jojo
The list goes on and on na si jojo(pipi) kama unavyojaribu kulazimisha tafsiri.
Mnyika John ndo wakapata jina la Jojo11: fredi vunja bei.....sijui ndio mwenye kibendi
Hata bila u Tiss ni lazima angejua mapema. Kulingana list iliyoorodheshwa. #61Mheshimiwa Jokate na mheshiniwa MwanaFA Hawa ni Wana usalama Tiss wa ngazi ya juu kabisa. Ni kati ya wachache kitengoni waliyojua kifo Cha Rais Magufuli kabla ya kutangazwa hadharani.