Mfahamu Jokate Mwegelo (Kidoti); Kuzaliwa Marekani, Urembo, kipanga darasani, Mapenzi, Siasa

Mungu hawez kukupa kila kitu,uzuri wote ule lakini majamaa hayana mpango wa kumuweka ndani
 
Amkeni Kumekucha Sasa Jo~Jo Yupo Hewani
 
Babaake alifanyakazi Ubalozini? Watu wa Ubalozini siwamaindi wala nini ***** zao, wanatuchuliaga poa sana wabeba mabox nyau wale. Unajua wakifanyakazi Ubalozini kibongobongo ni matawi ya juu, sasa hata ukikutana nao huku wanakuletea attitude zilezile. Fook y'all, kama mpo humu badilikeni mbuzi nyie, usiniletee mazereu mi nimekuja kwa nauli yangu sijapewa connection na mjomba
 
Yuko vizuri. May Almighty God bless her.
 
Kabisa
 
Mheshimiwa Jokate na mheshiniwa MwanaFA Hawa ni Wana usalama Tiss wa ngazi ya juu kabisa. Ni kati ya wachache kitengoni waliyojua kifo Cha Rais Magufuli kabla ya kutangazwa hadharani.
Hata bila u Tiss ni lazima angejua mapema. Kulingana list iliyoorodheshwa. #61
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…