KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Mi sio JokateWewe ndio Jokate? Inawezekana ukawa ndiye maana inaonekana hoja yangu imekukata maini. Pole binti, hayo ndiyo madhara ya umaarufu, ukifanya mambo ya hovyo hovyo lazima jamii itakujadili tu na huwezi kutuzuia.
Watoto wa uswahilini huwa wanaona wema anajua sana kiingereza.Duuuuh[emoji849][emoji849]
Wema anatema yai gani kwa mfano???
Na anawatetemesha hasaWatoto wa uswahilini huwa wanaona wema anajua sana kiingereza.
Kama wewe sio Jokate mbona unkuwa na kiherehere cha kumjibia??Mi sio Jokate
Ila olewa wewe
Inakuaje mwanaume unafatilia ndoa ya mwanamke asiekujua
Binti mrembo, mzuri wa umbo na sura, mwenye elimu plus exposure na kipaji hasa cha kuongea kwa kujiamini lakini...anaishia kuchezewa chezewa na wanaume hovyo hovyo. Binti haoleki, sasa hivi eti kajazwa mimba kabla ya ndoa. Halafu eti unasema ni mcha MUNGU? Hizi ndio tabia za wacha MUNGU?? Seriously!!!
Anyways, lakini, huyu binti inaonekana ako na shida fulani. Licha ya uzuri, bashasha, elimu, kipaji, exposure na umaarufu lakini wahuni wamemchezea na kumwacha. Wote waliokula, wamekula na kuacha. Siyo ajabu akaishia kuwa "single mother".
Ukiona hivyo, sio bure, ipo shida.
We ukiolewa inatoshaKama wewe sio Jokate mbona unkuwa na kiherehere cha kumjibia??
Au ulitaka tuzungumzie mazuri yake tu na machafu aliyofanya tusizungumze???
By the way hata utukane matusi ya kila aina, matusi yako hayatabadilisha chochote kile. Mimi nitabakia kuwa MWANAMUME na yeye historia yake chafu itabakia pale pale.
The dark side of her will always be there.
Kwa Uanaume gani ulokua nao hebu acha kuchekesha watu, wewe ulipokonywa bwana na Jojo ndio maana umeweka chuki hadi leo,Kama wewe sio Jokate mbona unkuwa na kiherehere cha kumjibia??
Au ulitaka tuzungumzie mazuri yake tu na machafu aliyofanya tusizungumze???
By the way hata utukane matusi ya kila aina, matusi yako hayatabadilisha chochote kile. Mimi nitabakia kuwa MWANAMUME na yeye historia yake chafu itabakia pale pale.
The dark side of her will always be there.
Kwao kila mtoto ana majina yakebaba ake ni Ndunguru yeye kajiitaje Mwegelo 🤒
We jamaa unatupanga hapa.ni kwa sababu za kiusalama.inasemekana mzee wao alitofautiana na nyerere. ili tofauti zake na nyerere zisivuruge future ya watoto wake,akaamua watumie majina mengine ya mwisho.
Nduguru wa wanaume, mwegelo wa wanawake.baba ake ni Ndunguru yeye kajiitaje Mwegelo [emoji855]
anhaa ndo ile ya ukoo flani hivi kina Ngongi wa kike wanaitwa Kegetu, i have gotten youNduguru wa wanaume, mwegelo wa wanawake.
Hivi yule Constantine ni ndg yk jktNduguru wa wanaume, mwegelo wa wanawake.
NdyooooHivi yule Constantine ni ndg yk jkt
Ova
Sawa na Nchimbi kwa wanaume, Chigumi kwa wanawake.anhaa ndo ile ya ukoo flani hivi kina Ngongi wa kike wanaitwa Kegetu, i have gotten you
Hata wewe ungezaliwa marekan ingekuwa hivyoHuyu demu yuko makini, nampendaga tu
una wivu bibie?Hata wewe ungezaliwa marekan ingekuwa hivyo
Ndiyo ukweli,una wivu bibie?