Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii kuna nengi mnoo ambayo yanaachwa kuwaumiza raiaJamaa wameua kwa bei poa sana aisee
Fighting is spirit.. ukiwa na spirit ya mapambano hauwez kupoa hata kidogo. Kuja jamaa ana maduka mengi tu mjini lakin yeye dereva wa magari ya shamba kibiti huko muhoro. Pamoja na gari lile kuwa la kwake lakin anaendesha na kulala humohumoR.I.P
Nje ya mada... Huku kwetu mtu anayetembeza korosho anaonekana yup duni kibiashara, na mtu akimiliki duka ni obviously hawez kutembeza korosho bali ata-settle dukani kwake! Kumbe huko ni tofauti...
System ya kijambaziNchi hii kuna nengi mnoo ambayo yanaachwa kuwaumiza raia
Wengine ni masharti ya wahanga. Huyo ni mtumwa wa hela, yeye kila siku anaitumikia hela na haifaidiFighting is spirit.. ukiwa na spirit ya mapambano hauwez kupoa hata kidogo. Kuja jamaa ana maduka mengi tu mjini lakin yeye dereva wa magari ya shamba kibiti huko muhoro. Pamoja na gari lile kuwa la kwake lakin anaendesha na kulala humohumo
Wapumbavu pia huzeeka na upumbavu waoTupe taarifa za siku ya kuzikwa na eneo msiba utakuwepo tukafanye tathmini kama anafaa kuwa asusa
InasikitishaAisee bado Yanki kabisa R.I.P Mpambanaji
60,000/- tu imewapa kataa ndoa point 3 na magoli 3Wanawake wengi wana matatizo sana wanapenda sana kukopa bila kushirikisha waume zao haliyakua wengine hawana biashara yoyote inayowawezesha kulipa hiyo mikopo