The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Wamedai kisha wanaenda jela maisha..duh kweli THINK BEFORE YOU OVERTAKEjela kama mzaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamedai kisha wanaenda jela maisha..duh kweli THINK BEFORE YOU OVERTAKEjela kama mzaha
Tamaa za kicenge tuWanawake wengi wana matatizo sana wanapenda sana kukopa bila kushirikisha waume zao haliyakua wengine hawana biashara yoyote inayowawezesha kulipa hiyo mikopo
Tumekubali kuwa mazombi, taasisi nyingi za fedha ni za wanasiasa wa chama tawala, ambao serikali ya bi Mdashi haina Janja ya kuwanyooshea kidole.Tukisema BOT Haina meno ya kudili na kampuni za mikopo hii ndio maana yake. Na nina uwakika BOT hawatawafanya chchte kile iyo OYA. Nipo hapa sio onyo,kufungia leseni kwa mda au faini kwao. Nipo pale
Ndo mana nasema fighting is a spirit. Kuna wtu wakipata hela ya kula hawaendi kazini mpaka hela ile iisheWengine ni masharti ya wahanga. Huyo ni mtumwa wa hela, yeye kila siku anaitumikia hela na haifaidi
Yaani jina tu linaonesha uhuni.Jina la kampuni limekaa kishari na kihuni, eti kampuni inaitwa "OYA".