Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

TATIZO UNA MIX MAMBO

KAA UTULIE UFUNZWE,haya mambo tatizo mapadri hawezi kuwaambia maana watawapoteza wakose sadaka

Falme hizo zinawakilishwa na Pembe 10 (Dan. 7:8). "Pembe"
ni "Wafalme" au "Falme" (Dan. 7:24). Falme 10 zilijikomboa toka
ukoloni wa Kirumi ulipoangushwa mwaka 476 B.K. na mataifa ya
kipagani ya Ulaya Kaskazini. Falme 10 ni Uingereza, Ufaransa,
Ujerumani, Uswisi (Switzerland), Ureno, Hispania, Italia,
Heruli, Wavandali (Vandals), na Waostrogothi (Ostrogoths).
Katika Danieli 2 zimewakilishwa na Vidole 10 vya Nyayo (Dan.
2:41,42). Kuhusu ukatili wao soma historia. Zilimsaidia, tena
zitamsaidia papa kuua watakatifu (Ufu.17:12-14).

HAYA MATAIFA YATAKAYOMSAIDIA , NADHANI UNAYAJUA SASA , NADHANI UNAONA HARAKATI ZA PAPA KUZURU HAYO MATAIFA

YHWH IS GOOD
 
HAPO KWENYE HESABU KWA NINI E haina value (yaani ni 0) HAUONI MAHESABU YAMELAZIMISHWA HAPO
 
Hapa waroma huwezi kuwaona tena, nondo zilizoshushwa humu si mcezo zimewafanya wapoteane kama wale wakazi wa sodoma walipopigwa upofu na malaika
 
HAPO KWENYE HESABU KWA NINI E haina value (yaani ni 0) HAUONI MAHESABU YAMELAZIMISHWA HAPO
Kirumi E haina value , kaangalie value za alfabet za kirumi

Pia hukumbuki darasa la 4 namba za kirumi?

YHWH IS GOOD
 
Ingekuwa vyema kama ungetaja vitabu vya nyuma vilivyotafsiri ufunuo

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Tatizo muda ufunuo ni fumbo kwa waliokataa maandiko yaliyo wazi ya vitabu vya nyuma yote yaliyo fumbwa kwenye ufunua yalisemwa wazi kwenye vitabu vya nyuma mfano 666 nikitu gani?
 
Tambua kilichokusudiwa na Mungu kidumu mwanadamu hawezi kukikomesha,siku ya saba ya juma kamwe haiwezi potea,soma isaya 66:23
Pia kama unakula nguruwe soma isaya 66:17 utapata mambo mazuri hapo

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Na katika hizo pembe kumi, ndipo inaibuka pembe ndogo na kuzinagusha pembe tatu yaani falme tatu ambazo ni Ostrogoths, heruli na vandals. Daniel 7: 24. "Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataondoka baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu." Hii pembe ndogo ndiye pia mnyama wa ufunuo 13:1 " Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru".

Tazama mfanano uuliopo kati ya Daniel na ufunuo.

Daniel 7:25. "Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati."

Ufunuo 13:6-8 "Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni. Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda, akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa. Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia".

Ufafanuzi
1.Kunena kinyume chake alieye juu ni pale kanisa katoliki lilipobadili amri za Mungu.
2. Jina la Makufuru ni VACARIUS FILII DEI yaani mwakilishi wa Mwana wa Mungu kama ajiitavyo papa. Makufuru!hakuna mtu awezaye kulinganishwa na Mungu.
3. Biblia inasema kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha mwanakondoo atamsujudia mnyama huyu. hata mijadala humu inaonyesha watu wengi wanmsujudia huyu mnyama. wengine kwa kufahamu kabisa wengine kwa kufuata mkumbo tu.
4. Mwisho wa wakati dunia itagawanywa mafungu mawili; aidha umwabudu mnyama na sanamu yake (Jumapili) ama umwabudu Mungu wa Mbinguni kwa kutii amri zake kama zilivyo katika kitabu cha kutoka 20 na sabato ya siku ya saba, jumamosi ikiwemo katika amri hizo.
 
Niambieni KAHABA MKUU ni nani

Na mumuhusishe aya kwa aya ktk UFUNUO
Mbona nilishakuambia kahaba Mkuu ni Nabii Mke Ellen G White...??? Hiyo mbona ipo wazi au unataka tuanze kumchambua...???

Thread yake ipo njiani
 
Kirumi E haina value , kaangalie value za alfabet za kirumi

Pia hukumbuki darasa la 4 namba za kirumi?

YHWH IS GOOD
kITABU CHA UFUNUO KIMESHUSHWA KWA LUGHA YA KIEBRANIA, sio kirumi. Kwa hiyo namba system inayotakiwa kutumika hapo ndugu ni Hebrew number system. Kwenye ule uzi mwingine nimekutumia na Mdhaniwa wa kuwa ndiye atakuja kuwa 666. Mengine katika uzi huu sibishi mpaka niwe na ushahidi wa kupinga
 
Angalia unachokiamini,na kile kinachoaminiwa na wasabato.Kisha chunguza,nani anafuata sheria za biblia.Ukiona sheria za kanisa lenu hazimo ktk biblia,hama haraka sana

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
AFU WASABATO SIO WAKRISTU PIA UMESAHAU HILO

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
AFU WASABATO SIO WAKRISTU PIA UMESAHAU HILO

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Awe mkristo,asiwe mkristo,ninachosema chunguza yanayofuatwa na kanisa lako,je,yanaendana na biblia au yanapingana na biblia?Maneno mengi ya nini pacpo ushahidi wa maandiko?Toa hta sheria mbili tu za kanisa lako,kwa ushahidi wa biblia ili tuone nani anamfuata Kristo.Maneno yako hayawezi kuwafanya wasabato wacwe wakristo.

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Imeandikwa wapi hii?
Kasome ufunuo 17 ktk biblia ya wakatoliki,toleo la kujifunza,ktk ufafanuzi wa 17:1,ukurasa 340.

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ufu 17 narudia rudia nione ni wapi lilikotajwa Roman Catholic
naona mnatoa tafsiri ambazo sijawahi kuzisikia kamwe kanisani kwangu namaanisha ROMAN CATHOLIC ...na mbaya zaidi mnatafsiri vitu ambavyo havipo ROMAN CATHOLIC

Biblia ukitaka kuitafsiri unavoielewa wewe utawachanganya hata WASABATO wenzako mwisho uhame usabato kama ulivyo hama ROMAN CATHOLIC...ili uitafsiri biblia lazima uwe mtaalam wa THEOLOGICAL STUDIES so kama hauna utaalamu na elimu hiyo acha kutafsiri biblia kutokana na kukalili mistari ya biblia

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
hilo swali niulize mimi kama wewe ndio hujakimbia na imani yako haba uhame usabato ukaanzishe kanisa lako

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…