Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mungu hakuwahi kuteua kanisa fulani kuwa alama yake, ila kanisa lake ni wale ambao huzishika amri zake na kuzifuata, acha kupotosha watu na kujipotosha kuhusu SDA na upendeleo wa Mungu kwao
amen wasabato Mungu amewafunulia kuujua unabii ndio kanisa la Mungu la wale waifuatao sheria na imani ya Yesu
 
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii:

“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
ae7a1c4de023bbda2da0a25e30e725f6.jpg

Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...



Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
da95cf61b762f5a8bb3ffa13c0e24c5f.jpg

b601c77df03518a6574d5fdbdf97b1ea.jpg


mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.

Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.

014c67cfdb1f454cb6ffad5c5931e2e5.jpg

2d74043e7497ad8b2d6a027cbaa597c5.jpg
Ni rahisi kujua dhehebu lenye characteristics hizo,wala huhitaji kuwa na akili nyingi saana.
 
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii:

“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
ae7a1c4de023bbda2da0a25e30e725f6.jpg

Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...



Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
da95cf61b762f5a8bb3ffa13c0e24c5f.jpg

b601c77df03518a6574d5fdbdf97b1ea.jpg


mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.

Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.

014c67cfdb1f454cb6ffad5c5931e2e5.jpg

2d74043e7497ad8b2d6a027cbaa597c5.jpg
Unasoma mstari wa biblia unatafsi kwa kuunga unga maneno yako mwenyewe. Wapi Biblia imetaja Vatican/ Roma?? Papa?
 
Naona umetafsiri mandoto uliyoota usiku. Yaani mwanamke kahaba ndio kanisa la Roma? Acheni kupotosha maandiko matakatifu.
 
Unasoma mstari wa biblia unatafsi kwa kuunga unga maneno yako mwenyewe. Wapi Biblia imetaja Vatican/ Roma?? Papa?
Biblia imetaja kwa code Huo ni unabii ,ulitaka utajiwe Vatican,papa utasubiri sana ,fungua code
 
Sio hawa waabudu masanamu wa hapo Roma?
Walioua watakatifu na kubadili amri za Mungu?
Wasabato mna hasira za kijinga, jumamosi yenu
huko mnakokutarajia ni lini mlifika na kurudi kutupa ushuhuda kuwa Mbinguni au ahera wanaitambua jumamosi au jumapili, wewe sali kwa ujuavyo achana na Dini nyingine na pagani
wapo wasabato walishinda uwanja wa ndege Dsm wakisubiri ndege waende mbinguni na hawakuondoka sijui wapo wapi
 
Wasabato mna hasira za kijinga, jumamosi yenu
huko mnakokutarajia ni lini mlifika na kurudi kutupa ushuhuda kuwa Mbinguni au ahera wanaitambua jumamosi au jumapili, wewe sali kwa ujuavyo achana na Dini nyingine na pagani
wapo wasabato walishinda uwanja wa ndege Dsm wakisubiri ndege waende mbinguni na hawakuondoka sijui wapo wapi
Usabato umeingiaje hapa ? Jadili hoja bila mihemko mm sio msabato kwa taarifa yako
 
Usabato umeingiaje hapa ? Jadili hoja bila mihemko mm sio msabato kwa taarifa yako
Pole mihemko yako ya kutoijua hii ni Mada ya waSabato usingesema hayo, maana Wasabato hawakuwepo ila walidanganywa kuwa adui yao ni yule aliyebadili siku ya jumamosi
Sio hawa waabudu masanamu wa hapo Roma?
Walioua watakatifu na kubadili amri za Mungu?
Bi Ellen Gould White
1582993038625.png
 
Pole mihemko yako ya kutoijua hii ni Mada ya waSabato usingesema hayo, maana Wasabato hawakuwepo ila walidanganywa kuwa adui yao ni yule aliyebadili siku ya jumamosi

Bi Ellen Gould White
View attachment 1372870
Utajijua wewe ,Mimi sizungumzii usabato nazungumzia kilichopo ndani ya maandiko au hujui ukatoliki ni upagani?
 
Wasabato mna hasira za kijinga, jumamosi yenu
huko mnakokutarajia ni lini mlifika na kurudi kutupa ushuhuda kuwa Mbinguni au ahera wanaitambua jumamosi au jumapili, wewe sali kwa ujuavyo achana na Dini nyingine na pagani
wapo wasabato walishinda uwanja wa ndege Dsm wakisubiri ndege waende mbinguni na hawakuondoka sijui wapo wapi
Wengine walifia pale kipundupindu kiliwapindua safari yao ikaishia pale, wengine walikuwa omba omba ili wapate nauli ya kurudia makwao waliko toka, wasabato masalia hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom