amen wasabato Mungu amewafunulia kuujua unabii ndio kanisa la Mungu la wale waifuatao sheria na imani ya YesuMungu hakuwahi kuteua kanisa fulani kuwa alama yake, ila kanisa lake ni wale ambao huzishika amri zake na kuzifuata, acha kupotosha watu na kujipotosha kuhusu SDA na upendeleo wa Mungu kwao
Ni rahisi kujua dhehebu lenye characteristics hizo,wala huhitaji kuwa na akili nyingi saana.Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa
“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].
Asema hivi yule Nabii:
“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...
Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.
Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.
Kwa mtazamo wako.amen wasabato Mungu amewafunulia kuujua unabii ndio kanisa la Mungu la wale waifuatao sheria na imani ya Yesu
Unasoma mstari wa biblia unatafsi kwa kuunga unga maneno yako mwenyewe. Wapi Biblia imetaja Vatican/ Roma?? Papa?Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa
“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].
Asema hivi yule Nabii:
“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...
Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.
Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.
Tuambie ww mwanamke kahaba ni naniNaona umetafsiri mandoto uliyoota usiku. Yaani mwanamke kahaba ndio kanisa la Roma? Acheni kupotosha maandiko matakatifu.
Biblia imetaja kwa code Huo ni unabii ,ulitaka utajiwe Vatican,papa utasubiri sana ,fungua codeUnasoma mstari wa biblia unatafsi kwa kuunga unga maneno yako mwenyewe. Wapi Biblia imetaja Vatican/ Roma?? Papa?
Ukifungua codes kahaba la ufunuo ni Bi Ellen Gould WhiteBiblia imetaja kwa code Huo ni unabii ,ulitaka utajiwe Vatican,papa utasubiri sana ,fungua code
Sio hawa waabudu masanamu wa hapo Roma?Ukifungua codes kahaba la ufunuo ni Bi Ellen Gould White
Wasabato mna hasira za kijinga, jumamosi yenuSio hawa waabudu masanamu wa hapo Roma?
Walioua watakatifu na kubadili amri za Mungu?
Usabato umeingiaje hapa ? Jadili hoja bila mihemko mm sio msabato kwa taarifa yakoWasabato mna hasira za kijinga, jumamosi yenu
huko mnakokutarajia ni lini mlifika na kurudi kutupa ushuhuda kuwa Mbinguni au ahera wanaitambua jumamosi au jumapili, wewe sali kwa ujuavyo achana na Dini nyingine na pagani
wapo wasabato walishinda uwanja wa ndege Dsm wakisubiri ndege waende mbinguni na hawakuondoka sijui wapo wapi
Pole mihemko yako ya kutoijua hii ni Mada ya waSabato usingesema hayo, maana Wasabato hawakuwepo ila walidanganywa kuwa adui yao ni yule aliyebadili siku ya jumamosiUsabato umeingiaje hapa ? Jadili hoja bila mihemko mm sio msabato kwa taarifa yako
Bi Ellen Gould WhiteSio hawa waabudu masanamu wa hapo Roma?
Walioua watakatifu na kubadili amri za Mungu?
Utajijua wewe ,Mimi sizungumzii usabato nazungumzia kilichopo ndani ya maandiko au hujui ukatoliki ni upagani?Pole mihemko yako ya kutoijua hii ni Mada ya waSabato usingesema hayo, maana Wasabato hawakuwepo ila walidanganywa kuwa adui yao ni yule aliyebadili siku ya jumamosi
Bi Ellen Gould White
View attachment 1372870
Wengine walifia pale kipundupindu kiliwapindua safari yao ikaishia pale, wengine walikuwa omba omba ili wapate nauli ya kurudia makwao waliko toka, wasabato masalia hao.Wasabato mna hasira za kijinga, jumamosi yenu
huko mnakokutarajia ni lini mlifika na kurudi kutupa ushuhuda kuwa Mbinguni au ahera wanaitambua jumamosi au jumapili, wewe sali kwa ujuavyo achana na Dini nyingine na pagani
wapo wasabato walishinda uwanja wa ndege Dsm wakisubiri ndege waende mbinguni na hawakuondoka sijui wapo wapi
Ni Ellen G White aliyepinga Utatu MtakatifuSio hawa waabudu masanamu wa hapo Roma?
Walioua watakatifu na kubadili amri za Mungu?
Huwa bado najiuliza ni Nancy aliyewadanganya kuwa Wasabato ni Wakristo???Utajijua wewe ,Mimi sizungumzii usabato nazungumzia kilichopo ndani ya maandiko au hujui ukatoliki ni upagani?
Huitaji kuwa na elimu ya kurusha roketi kujua msabato anafananaje...Usabato umeingiaje hapa ? Jadili hoja bila mihemko mm sio msabato kwa taarifa yako