Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Kwanini mnapenda sana kupindisha maandiko ninyi?

Dhambi hii itawatafuna nawaambieni...

Ufunuo inatoa fasiri ya mwanamke ni nani na imesema wazi kuwa ni mji mkuu,wewe unakuja na maana yako kuwa ni milki ya kidini,unatoa wapi hii? Unataka kusema kuwa malaika hakuwa anajua alichokuwa akisema? Tena alikuwa anatoa TAFSIRI siyo kwamba alikuwa anazungumza kwa mafumbo kwasababu tayari Yohana alikuwa ameshapewa mafumbo na alikuwa anataka ufafanuzi.....

Hii dhana ya mwanamke kuwa kanisa au milki ya kidini haikubaliani kabisa na unabii huu.Siyo kila mahali anapotamkwa mwanamke kwenye unabii ni kanisa.....

Kanuni ya kufasiri unabii inaeleweka,kuna maeneo Mungu ametoa ufafanuzi wa mafumbo na kuna sehemu hajatoa,kule alikotoa kwanini mnakataa maana hiyo na kutafuta yenu?

Sijui ni kwanini mnaendelea kujidanmganya....
 
Moderator nafikiri ni wakati muafaka wakuondoa hizi post za kidini kwenye hii forum naona maada za kidini zimeibuka kwa kasi sana kwenye jamii forum,nafikiri sio vizuri hizi mada kuendelea kutamalaki.
 
Kwaiyo tufanyeje
Tokeni kwake msishiriki dhambi zake, kwani huyo mwanamke kahaba ameandaliwa ghadhabu na Mungu na atakinywea katika kikombe cha ghadhabu ya uasherati wake pasipo kuchangnywa na maji. Ufunuo 18:4-6
 
Hapo ni kuomba Mungu maana OMANI ingawa mh!!!!
 
Moderator nafikiri ni wakati muafaka wakuondoa hizi post za kidini kwenye hii forum naona maada za kidini zimeibuka kwa kasi sana kwenye jamii forum,nafikiri sio vizuri hizi mada kuendelea kutamalaki.
naona unata na moderator afute pia na dhana ya kuwako kwa Mungu duniani. ukiona hivyo ujue watu wanataka kufahamu haya mambo ya Mungu vizuri.usipoyajua haya mambo ya Mungu mapema utazeeka vibaya,utakuja kuwa mchawi uzeeni au mganga wakienyeji
 
Pole sana ila inabid umpate kiongoz wa kanisa anaweza akawa na majibu mazur sana
 
Pole sana inabid upate mtaalam haswa
 
Unataka copy and paste ipi ili ukae kimya? Mleta uzi hajatoa maelezo.
Copy and paste kutoka makao makuu ya Jehova's Witness Brooklyn New York. Unajifanya hujui ulikoitoa hii uliyoweka hapo juu?
 
Mtashindana na Vatican lakini hamtashinda.
 
Kaka una hoja nzito..
 
Tanzania haina Dini hila watu wake wana Imani wanazo Amini.Hivyo mtu kuja na mafundiyosho ya kushambulia dhehebu moja tu siyo kitu kizuri.In short I know very well the History of the Church.Hivyo kuzungumzia upande mmoja wa shilingi sio sawa,mfano mtu anaweza kuwa anamini kunywa chai ya rangi au kula baadi ya chakula ni dhambi kutokana na uelewa wa kifungu fulani cha maandiko,lakini kuna sehemu maandiko yana ruhusu kula vitu vyakula vyote na visiitwe najisi kwani kinacho mtoka mtu ndio kitiacho najisi.
 
Hujaelewa swali langu, soma tena.
Ngoja nikuache mkuu. Ila tu tambua kuwa hapa JF kuna watu wa kila aina. Unapo-copy na ku-paste habari basi uwe tayari kuitetea hasa kama umeitoa kwenye source yenye mauzauza na isiyo na hadhi ya kuchangia lolote kuhusu mada husika. Happy New Year !
 
Vatican ndiko palipo na kiti cha enzi cha ibilisi!

Si mnasema yule mnyama kakaa mahali patakatifu. Kwa ninilei hii vatcan kiwe kiti cha ibilisi? Pia mnapoandika mavi yenu mwe mnatumia akili angalau kidogo zilizoko matakoni, biblia ina sema shetani huzunguka huku na huku iweje mseme ana kiti? Hopeless!
 
hayo ni mawazo yako,

hayahusiani na maono ya Yohana aliyoyaandika katika kitabu chake cha Ufunuo

maono hayo aliyaona yeye mwenyewe akiwa peke yake

akasema hivi, Mtu awaye yote asiongeze neno wala asipunguze neno

ulikuwapo wakati Yohana akiona hayo Maono?

Je ni Yohana amekutokea na kukutafasiri hiyo?

km hajakutokea hii tafasiri unaitoa wapi?

usimlishe maneno
 
hivi mnafikiri Roman Catolic ni wajinga kiasi gani?,

wamekaa na bibilia hii kwa miaka 1500 kabla haijatoka nje wakiihariri,

wao ni wajinga kiasi gani mpaka waache maneno ya kuwakashifu wao?

kwa sababu Bibilia hii ilikuwa ni katiba ya utawala wao (Roman Empire )

mnaobadilisha maandiko ninyi ndio wajinga na si Kanisa Katoliki
 
Mie ni Mlutheran, ila umeongea points sana mkuu, big up sana[emoji109] [emoji106] [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…