Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,328
Kwamba kuokoka ni kuhama dhehebu au vipi?Nilishahamaga huko tangu 2012 nikaamua Kuokoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kuokoka ni kuhama dhehebu au vipi?Nilishahamaga huko tangu 2012 nikaamua Kuokoka.
Mbona unaropoka?Na nnapoxema unaropoka cjakutukana,kuongea bila ushahidi wa maandiko ni kuropoka.Toa andiko lolote,ima iwe kwenye biblia,ama vitabu vyote vya kikatoliki ikiwemo misale ya waumini.Ukishindwa bac ucropoke ropoke.Kikristo,huwez kuongea jambo lolote la kibiblia bila maandikoNimeshamwambia huyo zuzu mwenzako, kahaba ni Nabii Mke Ellen G White
Roho mtakatifu anawafunulia wasabato tu au vipi?Hiyo tafsiri unaipata kwa uongoz wa roho mtakatifu
Kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa kificho
Umekuja vzr lkn unasahau kitu kimoja ni wap hapo upapa unapotokea kama pembe ndogo...ni mataifa gani yalianguka kupisha utawala wa papa hapo...ukumbuke hata kabla ya mwaka 476 upapa ulikuwepo na kabla ukristo haujawa dini ya rumi mwaka 330 mapapa walikuwepo na waliuliwa sana wakiifia dini.onyesha hapo mataifa gani yalimpisha papa il nkuletee uthibitisho kuwa papa alikuepo hata kabla rumi haijaanguka...na ni uongo rumi haikugawanyika kuja katika mataifa ya ujeruman na uswisi n uongo wa historia mweupe kabsaTATIZO UNA MIX MAMBO
KAA UTULIE UFUNZWE,haya mambo tatizo mapadri hawezi kuwaambia maana watawapoteza wakose sadaka
Falme hizo zinawakilishwa na Pembe 10 (Dan. 7:8). "Pembe"
ni "Wafalme" au "Falme" (Dan. 7:24). Falme 10 zilijikomboa toka
ukoloni wa Kirumi ulipoangushwa mwaka 476 B.K. na mataifa ya
kipagani ya Ulaya Kaskazini. Falme 10 ni Uingereza, Ufaransa,
Ujerumani, Uswisi (Switzerland), Ureno, Hispania, Italia,
Heruli, Wavandali (Vandals), na Waostrogothi (Ostrogoths).
Katika Danieli 2 zimewakilishwa na Vidole 10 vya Nyayo (Dan.
2:41,42). Kuhusu ukatili wao soma historia. Zilimsaidia, tena
zitamsaidia papa kuua watakatifu (Ufu.17:12-14).
HAYA MATAIFA YATAKAYOMSAIDIA , NADHANI UNAYAJUA SASA , NADHANI UNAONA HARAKATI ZA PAPA KUZURU HAYO MATAIFA
YHWH IS GOOD
tatizo la uelewa na uchambuzi wa maandiko ni shida...na alikuambia WAKATORIKI tunasujudi huyo mnyama uko wrong na elewa hili kuanzia leo na kuendelea.....pope ni cheo cha kiongozi wa kiroho makanisa ya kikatoliki Dunia sasa kama pope aliyepo vatikani ni Mnyama badili sahihisha hilo na pope anasimama badala ya PETRO mmoja wa mitume 12 wa Yesu Kristu ambacho hicho cheo ni kutoka kwa Yesu Kristu mwenye alipomuambia kuwa huyu ndio PETRO Mwamba na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisaIkiwa ukristo ni kumsujudia mnyama papa, ni kweli wasabato hawako kundi lenu hilo
Leta n amri zipi zmebadlishwa...au kubadl unamaanisha mchanganuo wa lugha...leta amri ipi imebadl mfano biblia imesema usile wao wakaleta ule...Na katika hizo pembe kumi, ndipo inaibuka pembe ndogo na kuzinagusha pembe tatu yaani falme tatu ambazo ni Ostrogoths, heruli na vandals. Daniel 7: 24. "Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataondoka baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu." Hii pembe ndogo ndiye pia mnyama wa ufunuo 13:1 " Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru".
Tazama mfanano uuliopo kati ya Daniel na ufunuo.
Daniel 7:25. "Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati."
Ufunuo 13:6-8 "Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni. Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda, akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa. Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia".
Ufafanuzi
1.Kunena kinyume chake alieye juu ni pale kanisa katoliki lilipobadili amri za Mungu.
2. Jina la Makufuru ni VACARIUS FILII DEI yaani mwakilishi wa Mwana wa Mungu kama ajiitavyo papa. Makufuru!hakuna mtu awezaye kulinganishwa na Mungu.
3. Biblia inasema kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha mwanakondoo atamsujudia mnyama huyu. hata mijadala humu inaonyesha watu wengi wanmsujudia huyu mnyama. wengine kwa kufahamu kabisa wengine kwa kufuata mkumbo tu.
4. Mwisho wa wakati dunia itagawanywa mafungu mawili; aidha umwabudu mnyama na sanamu yake (Jumapili) ama umwabudu Mungu wa Mbinguni kwa kutii amri zake kama zilivyo katika kitabu cha kutoka 20 na sabato ya siku ya saba, jumamosi ikiwemo katika amri hizo.
Napandisha uzi....Nakuomba uje...kule kahaba Nabii Mke Ellen Gould White tumemchambua vizuri....Mbona unaropoka?Na nnapoxema unaropoka cjakutukana,kuongea bila ushahidi wa maandiko ni kuropoka.Toa andiko lolote,ima iwe kwenye biblia,ama vitabu vyote vya kikatoliki ikiwemo misale ya waumini.Ukishindwa bac ucropoke ropoke.Kikristo,huwez kuongea jambo lolote la kibiblia bila maandiko
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Usipoteze muda....Wasabato siyo WakristoRoho mtakatifu anawafunulia wasabato tu au vipi?
hakuna amri iliyoongezwa amri zilizopo kwenye kitabu cha kutoka ndizo amri tunazozitumia wakatoriki hapo ndipo ninaposhindwa kuwaamini WASABATO yaani mzigo wa dhambi ya uongo mnaoubeba hakuna anayeweza kuwatua kwa maana ni mzitoLeta n amri zipi zmebadlishwa...au kubadl unamaanisha mchanganuo wa lugha...leta amri ipi imebadl mfano biblia imesema usile wao wakaleta ule...
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mkristo kweli!Mbona unapingana na Yesu sasa!Nina mashaka na ukristo wako ww.Yesu anasema "asomaye na afahamu"(mathayo 24:15),ww unasema hadi uende chuo kikuu ndo ufahamu!!YESU anasema "nakushukuru BABA BWANA wa mbingu na nchi,kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili,umewafunulia watoto wachanga"(Luka 10:21),lkn ww unasema hadi uwe mtaalam wa theology!!.Kama padri wko amekwambia usiisome hadi aje kukutafsiria bac jua ni mpinga NENO huyo.Hama huko.Kwenye ufu 17 narudia rudia nione ni wapi lilikotajwa Roman Catholic
naona mnatoa tafsiri ambazo sijawahi kuzisikia kamwe kanisani kwangu namaanisha ROMAN CATHOLIC ...na mbaya zaidi mnatafsiri vitu ambavyo havipo ROMAN CATHOLIC
Biblia ukitaka kuitafsiri unavoielewa wewe utawachanganya hata WASABATO wenzako mwisho uhame usabato kama ulivyo hama ROMAN CATHOLIC...ili uitafsiri biblia lazima uwe mtaalam wa THEOLOGICAL STUDIES so kama hauna utaalamu na elimu hiyo acha kutafsiri biblia kutokana na kukalili mistari ya biblia
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ili ROHO MTAKATIFU akae moyon mwako basi ni lazima uitii sheria na imani ya YESU.Sasa nje ya wasabato ni kanisa gani lenye sifa hiyo?ROHO MTAKATIFU hawezi kukaa kwa wavunja sheria ya MUNGU kwani ni chukizo kwake(MITHALI 28:9)Roho mtakatifu anawafunulia wasabato tu au vipi?
Wasabato siyo Wakristo...aliyewaruhusu kusoma biblia ni nani..??Wewe ni mkristo kweli!Mbona unapingana na Yesu sasa!Nina mashaka na ukristo wako ww.Yesu anasema "asomaye na afahamu"(mathayo 24:15),ww unasema hadi uende chuo kikuu ndo ufahamu!!YESU anasema "nakushukuru BABA BWANA wa mbingu na nchi,kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili,umewafunulia watoto wachanga"(Luka 10:21),lkn ww unasema hadi uwe mtaalam wa theology!!.Kama padri wko amekwambia usiisome hadi aje kukutafsiria bac jua ni mpinga NENO huyo.Hama huko.
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Ili ROHO MTAKATIFU akae moyon mwako basi ni lazima uitii sheria na imani ya YESU.Sasa nje ya wasabato ni kanisa gani lenye sifa hiyo?ROHO MTAKATIFU hawezi kukaa kwa wavunja sheria ya MUNGU kwani ni chukizo kwake(MITHALI 28:9)
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Haueleweki unapinga nini sasaUmekuja vzr lkn unasahau kitu kimoja ni wap hapo upapa unapotokea kama pembe ndogo...ni mataifa gani yalianguka kupisha utawala wa papa hapo...ukumbuke hata kabla ya mwaka 476 upapa ulikuwepo na kabla ukristo haujawa dini ya rumi mwaka 330 mapapa walikuwepo na waliuliwa sana wakiifia dini.onyesha hapo mataifa gani yalimpisha papa il nkuletee uthibitisho kuwa papa alikuepo hata kabla rumi haijaanguka...na ni uongo rumi haikugawanyika kuja katika mataifa ya ujeruman na uswisi n uongo wa historia mweupe kabsa
Point ya pili biblia nliyonukuu juu kule inasema mataifa haya kumi yaliungana na mnyama kufanya vita na kahaba...hujatuonyesha hapo n lin hayo mataifa yaliushambulia ukatoliki(kahaba kwa hoja zako)? Twende taratibu tu...leta majibu
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Acha kudanganywa wewe na wajanja wachachetatizo la uelewa na uchambuzi wa maandiko ni shida...na alikuambia WAKATORIKI tunasujudi huyo mnyama uko wrong na elewa hili kuanzia leo na kuendelea.....pope ni cheo cha kiongozi wa kiroho makanisa ya kikatoliki Dunia sasa kama pope aliyepo vatikani ni Mnyama badili sahihisha hilo na pope anasimama badala ya PETRO mmoja wa mitume 12 wa Yesu Kristu ambacho hicho cheo ni kutoka kwa Yesu Kristu mwenye alipomuambia kuwa huyu ndio PETRO Mwamba na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hivi ww ni mkatoliki kweli au mkatoliki aliyeasi!!Kipindi cha pasaka,misa ya alhamic kuu(ekaristi takatifu) hakuna kipengele cha kuabudu msalaba hpo?Au ktkt ya misa ya njia ya msalaba ya ijumaa kuu,hakuna kipengele cha kuabudu msalaba?Co nyie mnaoibusu sanamu ya yesu nyie?Au siku hizi mmeacha?tatizo la uelewa na uchambuzi wa maandiko ni shida...na alikuambia WAKATORIKI tunasujudi huyo mnyama uko wrong na elewa hili kuanzia leo na kuendelea.....pope ni cheo cha kiongozi wa kiroho makanisa ya kikatoliki Dunia sasa kama pope aliyepo vatikani ni Mnyama badili sahihisha hilo na pope anasimama badala ya PETRO mmoja wa mitume 12 wa Yesu Kristu ambacho hicho cheo ni kutoka kwa Yesu Kristu mwenye alipomuambia kuwa huyu ndio PETRO Mwamba na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Acha uongohakuna amri iliyoongezwa amri zilizopo kwenye kitabu cha kutoka ndizo amri tunazozitumia wakatoriki hapo ndipo ninaposhindwa kuwaamini WASABATO yaani mzigo wa dhambi ya uongo mnaoubeba hakuna anayeweza kuwatua kwa maana ni mzito
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
1-Kutoka 20:4 usiabudu sanamu,kanisa limeiondoaLeta n amri zipi zmebadlishwa...au kubadl unamaanisha mchanganuo wa lugha...leta amri ipi imebadl mfano biblia imesema usile wao wakaleta ule...
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
tofautisha kusoma biblia na kuchambua maandiko na chimbuko la maandiko...ukiwa na mashaka na ukristu wangu sitashangaa saa kwa sababu ninayeongea naye ni mpinga Kristu na sio mkistu ........Wewe ni mkristo kweli!Mbona unapingana na Yesu sasa!Nina mashaka na ukristo wako ww.Yesu anasema "asomaye na afahamu"(mathayo 24:15),ww unasema hadi uende chuo kikuu ndo ufahamu!!YESU anasema "nakushukuru BABA BWANA wa mbingu na nchi,kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili,umewafunulia watoto wachanga"(Luka 10:21),lkn ww unasema hadi uwe mtaalam wa theology!!.Kama padri wko amekwambia usiisome hadi aje kukutafsiria bac jua ni mpinga NENO huyo.Hama huko.
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Kamuulize padri wako.Amri ya 2 ya kukataza sanamu mbona haipo kwenye misale yetu ya waumini?Atakwambiahakuna amri iliyoongezwa amri zilizopo kwenye kitabu cha kutoka ndizo amri tunazozitumia wakatoriki hapo ndipo ninaposhindwa kuwaamini WASABATO yaani mzigo wa dhambi ya uongo mnaoubeba hakuna anayeweza kuwatua kwa maana ni mzito
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app