sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
- Thread starter
- #61
Huyu analipwa sh ngapi?
Kocha wa Yanga analipwa sh ngapi?
Kocha wa Azam analipwa sh ngapi?
Coz lazima ulinganishe na wenzako
Mkuu kwa hali uchumi tuliyo nayo ni kosa kujilinganisha na kina Ngoswe.. wacha sisi tuendelee kudili na perfect candidate with perfect CV but mahtaji yao yaendane na hali yetu ya uchumi.