Huyu analipwa sh ngapi?
Kocha wa Yanga analipwa sh ngapi?
Kocha wa Azam analipwa sh ngapi?
Coz lazima ulinganishe na wenzako
Mmmh!
Kwa wasifu huu wa huyu kocha sidhani kama atamaliza hata nusu msimu..........
Kiukweli huyu kocha hana CV kubwa kama baadhi ya makocha waliowahi kupita Simba mfano Nielsen Elias, Trot Moloto, au waliopita Yanga kama Jean Marie Bonganya, Marcio Maximo, n.k
Lkn wakati mwingine ni bora kuacha muda utoe hukumu sahihi hasa ukikumbuka hata huyu Goran hakupokelewa kwa mbwembwe wala hakuwa na CV la kufa mtu lakini ameondoka kichwa juu.
Mkuu kwa hali uchumi tuliyo nayo ni kosa kujilinganisha na kina Ngoswe.. wacha sisi tuendelee kudili na perfect candidate with perfect CV but mahtaji yao yaendane na hali yetu ya uchumi.
Hivi kubadili kocha ni suluhisho?
Toka mwaka 2000 simba imekuwa na makocha wangapi?
Mkuu sembo!"Kwa kocha huyu wa Simba SC lazima mtalala na viatu"
Source: Gazeti Bora La Michezo Tanzania, Mwanaspoti.
Mkuu sembo!
Utampromo sana huyu kocha lakini ukweli utabaki pale pale kuwa hana uwezo huo unaouzungumzia wewe!
Nakuhakikishia kuwa hatamaliza msimu pale msimbazi.
Mkuu sembo!
Utampromo sana huyu kocha lakini ukweli utabaki pale pale kuwa hana uwezo huo unaouzungumzia wewe!
Nakuhakikishia kuwa hatamaliza msimu pale msimbazi.
Mkuu we need to come out with serious arguments
Hizi sifa ambazo ni za kipuuzi hazitusaidii kwenye mpira
wangapi wamesoma na Obama au Kikwete Darasa moja...Je wote wamepewa ushauri mzuri na kikwete au obama kuwa marais wazuri?
Hizi siasa za mpira wa Tanzania ni za hovyo sana...Na ndio maana siku zote tunabaki hapahapa tu