mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Huyu kocha kimeo, sioni cv ya maana hapo, nilijua ameiwezesha timu yake kufika hata kwenye makundi kumbe ni hatua ya awali!!!!Hatua za awali
Mganga njaa tu huyo, bora hata kopunovic alikuwa na cv ya maana kuliko huyo!