Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo ndio tatizo😁😁😁tunapenda sana kuendesha mabo yetu kihisia.tushasahau kwamba hz chanjo hazijaanza leo, toka tumezaliwa tunapigwa tu hayo machanjo.
Ni kama ccm wengine toka tunzaliwa tunaona ccm tu inaongoza nchi, wazee wetu ni ccm kwahiyo inabidi na sisi tuendelee nayo ccm ipo toka zamani.😁😁😁tunapenda sana kuendesha mabo yetu kihisia.tushasahau kwamba hz chanjo hazijaanza leo, toka tumezaliwa tunapigwa tu hayo machanjo.
Kwetu wapo wengi sana ili urasimu na ubabaishaji ni mwingi. Mimi Nina mfano halisi kuna braza jirani alikua fundi welding aliyengeneza prototype helicopter vizuri tu iliyokua inahitaji approval ya wataalamu na serikali alipigwa danadana tu na kupelekwa kwenye maonyesho ya 77 basi yule braza alikuja kufirisika biashara yake ya welding akaishia kuchanganyikiwa mpaka akajakufariki akiwa chiziHata kwetu wapo japo hawapewi support inayostahili, kunavijana wanafanya vtu vkubwa sana ila huwezi wasikia kma si mtafuta taarifa.
Ila wengi sana wamefirisika au kushindwa kuendelea kwa vikwazo vya serikali.Kwetu wapo wengi sana ili urasimu na ubabaishaji ni mwingi. Mimi Nina mfano halisi kuna braza jirani alikua fundi welding aliyengeneza prototype helicopter vizuri tu iliyokua inahitaji approval ya wataalamu na serikali alipigwa danadana tu na kupelekwa kwenye maonyesho ya 77 basi yule braza alikuja kufirisika biashara yake ya welding akaishia kuchanganyikiwa mpaka akajakufariki akiwa chizi
Inapofika time umejitambua n lazima uwe na uchaguzi wa kile unachokiona bora sio kulisi kila kitu.Ni kama ccm wengine toka tunzaliwa tunaona ccm tu inaongoza nchi, wazee wetu ni ccm kwahiyo inabidi na sisi tuendelee nayo ccm ipo toka zamani.
😵😵😵Hongera zake kwa kutuletea 666 id,yaani unataka kusema chanjo ni salama tuwape mabega wachome syringe za chip?
Kwetu wapo wengi sana ili urasimu na ubabaishaji ni mwingi. Mimi Nina mfano halisi kuna braza jirani alikua fundi welding aliyengeneza prototype helicopter vizuri tu iliyokua inahitaji approval ya wataalamu na serikali alipigwa danadana tu na kupelekwa kwenye maonyesho ya 77 basi yule braza alikuja kufirisika biashara yake ya welding akaishia kuchanganyikiwa mpaka akajakufariki akiwa chizi
Ni kweli bhana, serikali imekuwa haitoi support ya kutosha ktk kuwawezesha vjana ktk kuwaendeleza.Kwetu wapo wengi sana ili urasimu na ubabaishaji ni mwingi. Mimi Nina mfano halisi kuna braza jirani alikua fundi welding aliyengeneza prototype helicopter vizuri tu iliyokua inahitaji approval ya wataalamu na serikali alipigwa danadana tu na kupelekwa kwenye maonyesho ya 77 basi yule braza alikuja kufirisika biashara yake ya welding akaishia kuchanganyikiwa mpaka akajakufariki akiwa chizi
Siyo sahihi, mbona traffic lights zimegunduliwa na mtu mweusi na tunazitumia kuongozea njia barabarani?Wamarekani wanadhani kutangaza mgunduzi ni mweusi, Basi Waafrika watashoboka, kumbe Waafrika hawana Imani hata kidogo na ugunduzi wowote wa mtu mweusi
Sasa kama kuna hoja ya kwamba tumeshachanjwa sana hayo toka utotoni hivyo hata chanjo ya corona tukubali tu maana tushazoea kuchanjwa,unadhini hoja hiyo inatofauti gani na hoja ya kurithi ccm?Inapofika time umejitambua n lazima uwe na uchaguzi wa kile unachokiona bora sio kulisi kila kitu.
Sijakwambia ukachanjwe, chagua ww lipi jema kama utaona inakufaa kachanjwe kama haikufai pita kushoto🙏🙏Sasa kama kuna hoja ya kwamba tumeshachanjwa sana hayo toka utotoni hivyo hata chanjo ya corona tukubali tu maana tushazoea kuchanjwa,unadhini hoja hiyo inatofauti gani na hoja ya kurithi ccm?
Mbona hamuithamini dawa ya Madagascar?Siyo sahihi, mbona traffic lights zimegunduliwa na mtu mweusi na tunazitumia kuongozea njia barabarani?
Tuliithamini na tulipeleka ndege kwenda kubeba zile dozi. Lakini wenyewe walianza kutoithamini baadae.Mbona hamuithamini dawa ya Madagascar?
Hazipo kabisa madukani, hata Ile mashine ya kujifukiza ilisha tolewa pale MuhimbiliTuliithamini na tulipeleka ndege kwenda kubeba zile dozi. Lakini wenyewe walianza kutoithamini baadae.
Sisi pia tunathamini sana COVIDOL na UDANOL lakini wenyewe hawazitangazi sana.
Mbona hakuna niliposema umeniambia nikachanje, nilikuwa najadili tu hoja ya kusema tushachanjwa sana chanjo toka utotoni.Sijakwambia ukachanjwe, chagua ww lipi jema kama utaona inakufaa kachanjwe kama haikufai pita kushoto🙏🙏
''Chanjo hazifai" kisha mwilini mwako unazo kwa uchache 7,ee ndio sabaa.Hebu tujikumbushe kwa kifupi mchango wa shujaa katika haya masuala ya sayansi ya chanjo.
View attachment 1877738
Natamani kulia.Wenzetu chini ya miaka 30 anafanya Mambo makubwa kwa sababu wanapewa nafasi sisi tumejaza maprofesa na madokta kwenye siasa wanafanya ushubwada tu
😵😵😵
Hivi kweli unaamini hizi fix za 666? Tuko nyuma sana kimaendeleo!!!!!!!!!!!
Naamini sana,siwezi kuacha kuamini,wale jamaa wakenya waliongea kuhusu chanjo hizi kabla ya corona miaka ya 2012-13 leo yanatokea,walikuwa wanaongelea mada za freemason na mpango wa kupunguza watu duniani.😵😵😵
Hivi kweli unaamini hizi fix za 666? Tuko nyuma sana kimaendeleo!!!!!!!!!!!
Wewe ule utafiti wako wa binadamu kulala na jiko la mkaa ndani unaunza lini?