Mfahamu kwa undani Zarinah, mwanamke anayezima Nyota ya Wema Sepetu

Yaanii katika huo utajiri wote ulioutaja hapo inamaana kwamba huyo IVAN Hana kitu hapo? Au aliolewa embu nisaidienii wakuu daaaah! Nihatarii
 
Kwakweli Zari amekuwa Kiboko ya Wema Sepetu duuu! kweli kila ugonjwa una dawa yake! Nina hakika hata dawa ya Ukimwi itapatikana.

Kwakweli Wema kazidiwa kila idara.

Wema kama ameahama mji vile hahaha...Zari ni salute
 
Yaani na hapa jamii mna muda wa kumfwatilia mwenye uchumi wa UN kazi kweli tuleteeni topic za maana

nenda kule jukwaa la siasa utakuta mambo ya maana binamu, uku tuache sie wazee wa ubuyu tuburudike
 
natamani kujua source ya utajiri lakini

mwenzangu nasikia mume wake ivan ndo source ya utajir wake, mwanzo alikuwa chakubimbi tu kama akina aunty ezekiel,sema jamaa ndo kamtoa na ivi kazaa nae watoto watatu bhas utajir wote umemwangukia zari, yule mwanamke ni shidaaa ana pesa hatariiii yan ni noumaaa
 
warumi, ila twende mbele na kurudi nyuma, Zari mzuri jamani.
Diamond anapenda vitamu

demu mkali yule binamu, kiboko ya mwafulani maana mtoto kabarikiwa umalaya,uzuri hadi utajiri,nasikia ana stashahada ya cosmetology inabid na mimi nikasomee shahada ya gossipology aiseeh..n
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli Zari amekuwa Kiboko ya Wema Sepetu duuu! kweli kila ugonjwa una dawa yake! Nina hakika hata dawa ya Ukimwi itapatikana.

Kwakweli Wema kazidiwa kila idara.

kweli kabisa kwa zari, wema hafui dafu ata chembe na wala hafai ata kuwa kijakazi wake, kweli mwisho wake umefika na kama ni nyota sasa ivi imeingia vumbiiiii
 

Attachments

  • 1421173893852.jpg
    43 KB · Views: 613
  • 1421173923562.jpg
    94.1 KB · Views: 591
  • 1421173951889.jpg
    93.7 KB · Views: 580
Mtaa wa tatu kakazana kumponda Zari wee kumbe roho inampwita maana zari kamzidi kila idara. Mwee Zari mrembo jamani sipat picha alipokuwa 18years. Duuuu.

kweli nimeamini kila shetani na mbuyu wake.
 
Haya maswali usitegemee kujibiwa hapa.

Dada yetu Linda pia yuko over 40 na she looks sex too.

tatizo linda hana nyota..zari kaja kwa kasi mnoo , yule mwana mama ni kiboko aisehh ana nyota ya umalaya,uzuri,utajir na ya kutembea na wanaume mastaa na wenye pesa zao kasoro kwa ndomo tu ndo kabugi
 
tatizo linda hana nyota..zari kaja kwa kasi mnoo , yule mwana mama ni kiboko aisehh ana nyota ya umalaya,uzuri,utajir na ya kutembea na wanaume mastaa na wenye pesa zao kasoro kwa ndomo tu ndo kabugi

Linda siyo Mdar es salama yuko zake USA anaendelea na fani yake ya mitindo na ni mke wa Mali Kimeresa. Wala haitaji nyota kama umalaya alishaufanya enzi na kina Mbilia bell sasa kautuliza mpapa kwa mumewe.
 
Linda siyo Mdar es salama yuko zake USA anaendelea na fani yake ya mitindo na ni mke wa Mali Kimeresa. Wala haitaji nyota kama umalaya alishaufanya enzi na kina Mbilia bell sasa kautuliza mpapa kwa mumewe.

ahahah... nataman kujua historia yake kiundan
 
Hahaha wabongo kwakuthamini vya nje hatujambo,kwao hata hawamtambui, hao mnaowasifia ndo kwanza hata hawana time na sis hata ukienda kwao wanakuona kama omba omba, sasa hivi mtabeba mtapetipet Ila cku akiwageuka na kuwatolea maneno ya dharau mtaona wenyewe mtavyoanza kumshambulia kama nyumbu yote mnayompamba nayo sasa hivi mtayageuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…