Mfahamu Kwame Nkurumah

Mfahamu Kwame Nkurumah

kimsingi ww unawapinga wote wawili wao walitaka afrika iungane iwe moja ila kwa njia tofauti ww unaona haiwezekani misri kuwa mkoa kama mbeya.
Wote walishindwa, hudhani kwamba kuna kaposibiiti ka falsafa kushinda kama zao zilishindwa zote? Sote tunaungana ktk Afrika moja, ila mbinu ni tofauti za kuiunganisha.
 
wanao himiza kulipa kodi wakati wao hawalipi na gharama zao za kuishi zinalipwa na ikulu.
Hisia hizo pia zinapunguza uwezo wa kujifunza kiuhuru, unaishi kwa yale wengine wanayoyasemea. Unaijua Queen family ya Uingereza na kila kitu ktk maisha yao? Jinsi waishivyo? Hata kingereza bora (RP) huitwa Queen language ujue. Yeye ndiye aliyempa Nyerere Uongozi wa nchi hii, bado yuko hai na bado yuko madarakani ujue? Uzazi wake wote ni watawala wa Uingereza hata wale ambao bado hawajazaliwa pia ni watawala na Duke.

Kikwete alisema, uambiwacho changanya na chako, mbayuwayu huyo.
 
220px-Kwame_Nkrumah_%28JFKWHP-AR6409-A%29.jpg


Alizaliwa mwaka 1909 mjini Nkrorful Ghana wakati huo ikiitwa Gold Coast. Hakuna aliyekuwa na elimu katika familia yake enzi hizo. Kwame ni jina wanalopewa watoto wa kiume wanaozaliwa Jumamosi katika mila za Ghana.

Baada ya elimu yake ya awali nchini Ghana mwaka 1935 Nkurumah alisafiri kwenda Pennsylvania USA ambako alisoma Batchelor of Arts, Batchelor of Theology na Masters of Science.

Mwaka 1945 alijiunga na London School of Economics kufanya PhD ya Anthropology

Nitaendelea next week ni ndefu na nzuri sana ila majukumu yamezidi
Sky...
Ni ''Nkrumah'' siyo ''Nkurumah.''

Bahati mbaya hukufika mbali kwa kuzingwa na majukumu.

Lakini kwa hali ya mambo yalivyo siku hizi taarifa haisubiri mtu ailete
hapa Majlis.

Mtu akiingia Google kila kitu atakikuta hapo.

Juu hayo mimi nitakusubiri hapa barzani kukusikiliza kuhusu Nkrumah
kwani mimi nimempenda Nkrumah nikiwa labda nina miaka 16 hivi
baada ya kusoma kitabu chake, ''Challenge of the Congo.''

Baada ya hapo ikawa nasoma kila kitabu cha Nkrumah na kufuatilia
maisha yake.

Wakati ule tayari alikuwa kesha pinduliwa na anaishi Guinea ya Sekou
Toure.

Bahati nilikutana na ushawishi wa Nkrumah wakati nafanya utafiti wa
kitabu cha Abdul Sykes.

Mwaka wa 1953 wakati viongozi wa TAA wako katika mipango ya kuunda
TANU walikuwa wanahitaji kuandika katiba ya chama hicho kipya.

Walichokifanya viongozi hawa ilikuwa ni kuchukua katiba ya chama cha
Nkrumah, Convention People's Party (CPP) na kuinakili.

Palipoandikwa CPP viongozi hawa wa TAA waliweka TANU.

(Uongozi wa TAA haukurasimu katiba mpya, katiba ya TANU ilinukuliwa
neno kwa neno kutoka Convention People's Party (CPP) ya Kwame
Nkrumah
, kwa kutia TANU mahali pa CPP. Maelezo kutoka kwa Tewa
Said Tewa)
.

Taarifa hii ya kuwa TANU haikuandika katiba yake bali ilinakili kutoka kwa
CCP imeleta ubishi mkubwa sana hapa Majlis wanaompinga mwandishi wakidai
kuwa katiba ya TANU iliandikwa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa
1953 baada ya kuchaguliwa kuwa rais wa TAA.

Lakini TANU haikuiga katiba ya Nkrumah peke yake.
TANU na kwa hakika Mwalimu Nyerere walimuiga Nkrumah hata katika mavazi:

aYo17tjpGZW4vBCHTk6NCt7msl0lAk0bYZSl5PFTfSw71-taFO1TOZeGr-foSJCRujDejaYCmpVI2w99s9se32n8A7v2nTglUBK3fGGULC6t_ATIJ7QFbIIQUz4whW3UN8i0hqqcRblFmbreAXsCcLMt2knsX2lkzKEwwCmoXHzvVFMj7meiJx48lz_4dRgfSne-hFV0xu-oeN61sgz4O_yHmGSz1wI5g8UpVtuBYqL6aYLlhAWjWVwVTmZLWFuVCKHVDHbq5CljFmYhRdLdE30rx9NFkL92LJMBRxhmQYIrurpIiSsR5EK2TRcERwRQwEtooGgsNCD5YL0nj91-GS3AWW1lLCvvD1_BDbJXSmkEWHFJHxOYe8cqCUGX8sTY8e1vXzj87C1kzt_n60YF7zmLEdZAqyPT__ApWBR-dPbqdmvSaQecsM-FT4l9zetzwtlRh5PZH9b6o39HHczI1Gvc1jCx3XcG-GoiQrFhnPg9t3y97gYq6Lmq6gYpjSwQXRo5Ag3rENm1uklw_EobaU71dK7q6aJm69bM53sXta53xpVadXWRbGHi75V3_dfodk18u6ITlddkuTxm14dzTq6G22z5w-OW91Qg8VRg=w357-h632-no

Picha kutoka nakala yangu ya ''The Autobiography
of Kwame Nkrumah,'' (1957)


031e763b58e47783a0adf839d358e9d5.jpg


Ningependa kuhitimisha kwa kukuwekea masomaji kipande kutoka mswada
wa maisha ya Ally Sykes, ''Under The Shadow of British Colonialism,'' Ally
Sykes
akieleza kuhusu Kwame Nkrumah:

''Kwame Nkrumah and the Gold Coast as it was then known had a special place
to us. All of us in TANU including Nyerere were great admirers of Nkrumah on
his stand against colonialism so much so we copied the TANU constitution from
Nkrumah’s Convention Peoples Party (CPP). We also copied Nkrumah’s propaganda
and mass mobilisation style. Nkrumah had great influence in the politics of
Tanganyika. For instance we called TANU members who were jailed as result of their
political activities “prison graduates” after Nkrumah had done so. Robert Makange
and Heri Baghdelleh wrote an article, which the British considered seditious and the
two were sentenced to six months, imprisonment. Baghdelleh and Makange therefore
became TANU’s first prison graduates. The two were editors of TANU paper Mwafrika.
Many politicians in Tanganyika adopted the attire, which was won by Ghanaians during
the struggle, a long robe thrown over one shoulder as their own dress. At that time all
these were symbols of defiance against the British. Nkrumah and Ghana inspired us.''
 
Sky...
Ni ''Nkrumah'' siyo ''Nkurumah.''

Bahati mbaya hukufika mbali kwa kuzingwa na majukumu.

Lakini kwa hali ya mambo yalivyo siku hizi taarifa haisubiri mtu ailete
hapa Majlis.

Mtu akiingia Google kila kitu atakikuta hapo.

Juu hayo mimi nitakusubiri hapa barzani kukusikiliza kuhusu Nkrumah
kwani mimi nimempenda Nkrumah nikiwa labda nina miaka 16 hivi
baada ya kusoma kitabu chake, ''Challenge of the Congo.''

Baada ya hapo ikawa nasoma kila kitabu cha Nkrumah na kufuatilia
maisha yake.

Wakati ule tayari alikuwa kesha pinduliwa na anaishi Guinea ya Sekou
Toure.

Bahati nilikutana na ushawishi wa Nkrumah wakati nafanya utafiti wa
kitabu cha Abdul Sykes.

Mwaka wa 1953 wakati viongozi wa TAA wako katika mipango ya kuunda
TANU walikuwa wanahitaji kuandika katiba ya chama hicho kipya.

Walichokifanya viongozi hawa ilikuwa ni kuchukua katiba ya chama cha
Nkrumah, Convention People's Party (CPP) na kuinakili.

Palipoandikwa CPP viongozi hawa wa TAA waliweka TANU.

(Uongozi wa TAA haukurasimu katiba mpya, katiba ya TANU ilinukuliwa
neno kwa neno kutoka Convention People's Party (CPP) ya Kwame
Nkrumah
, kwa kutia TANU mahali pa CPP. Maelezo kutoka kwa Tewa
Said Tewa)
.

Taarifa hii ya kuwa TANU haikuandika katiba yake bali ilinakili kutoka kwa
CCP imeleta ubishi mkubwa sana hapa Majlis wanaompinga mwandishi wakidai
kuwa katiba ya TANU iliandikwa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa
1953 baada ya kuchaguliwa kuwa rais wa TAA.

Lakini TANU haikuiga katiba ya Nkrumah peke yake.
TANU na kwa hakika Mwalimu Nyerere walimuiga Nkrumah hata katika mavazi:

aYo17tjpGZW4vBCHTk6NCt7msl0lAk0bYZSl5PFTfSw71-taFO1TOZeGr-foSJCRujDejaYCmpVI2w99s9se32n8A7v2nTglUBK3fGGULC6t_ATIJ7QFbIIQUz4whW3UN8i0hqqcRblFmbreAXsCcLMt2knsX2lkzKEwwCmoXHzvVFMj7meiJx48lz_4dRgfSne-hFV0xu-oeN61sgz4O_yHmGSz1wI5g8UpVtuBYqL6aYLlhAWjWVwVTmZLWFuVCKHVDHbq5CljFmYhRdLdE30rx9NFkL92LJMBRxhmQYIrurpIiSsR5EK2TRcERwRQwEtooGgsNCD5YL0nj91-GS3AWW1lLCvvD1_BDbJXSmkEWHFJHxOYe8cqCUGX8sTY8e1vXzj87C1kzt_n60YF7zmLEdZAqyPT__ApWBR-dPbqdmvSaQecsM-FT4l9zetzwtlRh5PZH9b6o39HHczI1Gvc1jCx3XcG-GoiQrFhnPg9t3y97gYq6Lmq6gYpjSwQXRo5Ag3rENm1uklw_EobaU71dK7q6aJm69bM53sXta53xpVadXWRbGHi75V3_dfodk18u6ITlddkuTxm14dzTq6G22z5w-OW91Qg8VRg=w357-h632-no

Picha kutoka nakala yangu ya ''The Autobiography
of Kwame Nkrumah,'' (1957)


031e763b58e47783a0adf839d358e9d5.jpg


Ningependa kuhitimisha kwa kukuwekea masomaji kipande kutoka mswada
wa maisha ya Ally Sykes, ''Under The Shadow of British Colonialism,'' Ally
Sykes
akieleza kuhusu Kwame Nkrumah:

''Kwame Nkrumah and the Gold Coast as it was then known had a special place
to us. All of us in TANU including Nyerere were great admirers of Nkrumah on
his stand against colonialism so much so we copied the TANU constitution from
Nkrumah’s Convention Peoples Party (CPP). We also copied Nkrumah’s propaganda
and mass mobilisation style. Nkrumah had great influence in the politics of
Tanganyika. For instance we called TANU members who were jailed as result of their
political activities “prison graduates” after Nkrumah had done so. Robert Makange
and Heri Baghdelleh wrote an article, which the British considered seditious and the
two were sentenced to six months, imprisonment. Baghdelleh and Makange therefore
became TANU’s first prison graduates. The two were editors of TANU paper Mwafrika.
Many politicians in Tanganyika adopted the attire, which was won by Ghanaians during
the struggle, a long robe thrown over one shoulder as their own dress. At that time all
these were symbols of defiance against the British. Nkrumah and Ghana inspired us.''
Asante kiongozi, kwanza nimejifunza tofauti ya umri wa viongozi wapigania uhuru katika kusoma habari za mzee Kwame Nkrumah, Jomo Kenyatta na Kamuzu Banda ndiyo walikuwa age mates wa mr Nkurumah pia kufahamu kwamba mwaka 1945 alipata admission ya kufanya PhD ni habari iliuonitia hamu zaidi ya kumfahu mwana Africa huyu alieanza haraka to za ukombombozi akiwa masomoni Marekani
 
Sky...
Ni ''Nkrumah'' siyo ''Nkurumah.''

Bahati mbaya hukufika mbali kwa kuzingwa na majukumu.

Lakini kwa hali ya mambo yalivyo siku hizi taarifa haisubiri mtu ailete
hapa Majlis.

Mtu akiingia Google kila kitu atakikuta hapo.

Juu hayo mimi nitakusubiri hapa barzani kukusikiliza kuhusu Nkrumah
kwani mimi nimempenda Nkrumah nikiwa labda nina miaka 16 hivi
baada ya kusoma kitabu chake, ''Challenge of the Congo.''

Baada ya hapo ikawa nasoma kila kitabu cha Nkrumah na kufuatilia
maisha yake.

Wakati ule tayari alikuwa kesha pinduliwa na anaishi Guinea ya Sekou
Toure.

Bahati nilikutana na ushawishi wa Nkrumah wakati nafanya utafiti wa
kitabu cha Abdul Sykes.

Mwaka wa 1953 wakati viongozi wa TAA wako katika mipango ya kuunda
TANU walikuwa wanahitaji kuandika katiba ya chama hicho kipya.

Walichokifanya viongozi hawa ilikuwa ni kuchukua katiba ya chama cha
Nkrumah, Convention People's Party (CPP) na kuinakili.

Palipoandikwa CPP viongozi hawa wa TAA waliweka TANU.

(Uongozi wa TAA haukurasimu katiba mpya, katiba ya TANU ilinukuliwa
neno kwa neno kutoka Convention People's Party (CPP) ya Kwame
Nkrumah
, kwa kutia TANU mahali pa CPP. Maelezo kutoka kwa Tewa
Said Tewa)
.

Taarifa hii ya kuwa TANU haikuandika katiba yake bali ilinakili kutoka kwa
CCP imeleta ubishi mkubwa sana hapa Majlis wanaompinga mwandishi wakidai
kuwa katiba ya TANU iliandikwa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa
1953 baada ya kuchaguliwa kuwa rais wa TAA.

Lakini TANU haikuiga katiba ya Nkrumah peke yake.
TANU na kwa hakika Mwalimu Nyerere walimuiga Nkrumah hata katika mavazi:

aYo17tjpGZW4vBCHTk6NCt7msl0lAk0bYZSl5PFTfSw71-taFO1TOZeGr-foSJCRujDejaYCmpVI2w99s9se32n8A7v2nTglUBK3fGGULC6t_ATIJ7QFbIIQUz4whW3UN8i0hqqcRblFmbreAXsCcLMt2knsX2lkzKEwwCmoXHzvVFMj7meiJx48lz_4dRgfSne-hFV0xu-oeN61sgz4O_yHmGSz1wI5g8UpVtuBYqL6aYLlhAWjWVwVTmZLWFuVCKHVDHbq5CljFmYhRdLdE30rx9NFkL92LJMBRxhmQYIrurpIiSsR5EK2TRcERwRQwEtooGgsNCD5YL0nj91-GS3AWW1lLCvvD1_BDbJXSmkEWHFJHxOYe8cqCUGX8sTY8e1vXzj87C1kzt_n60YF7zmLEdZAqyPT__ApWBR-dPbqdmvSaQecsM-FT4l9zetzwtlRh5PZH9b6o39HHczI1Gvc1jCx3XcG-GoiQrFhnPg9t3y97gYq6Lmq6gYpjSwQXRo5Ag3rENm1uklw_EobaU71dK7q6aJm69bM53sXta53xpVadXWRbGHi75V3_dfodk18u6ITlddkuTxm14dzTq6G22z5w-OW91Qg8VRg=w357-h632-no

Picha kutoka nakala yangu ya ''The Autobiography
of Kwame Nkrumah,'' (1957)


031e763b58e47783a0adf839d358e9d5.jpg


Ningependa kuhitimisha kwa kukuwekea masomaji kipande kutoka mswada
wa maisha ya Ally Sykes, ''Under The Shadow of British Colonialism,'' Ally
Sykes
akieleza kuhusu Kwame Nkrumah:

''Kwame Nkrumah and the Gold Coast as it was then known had a special place
to us. All of us in TANU including Nyerere were great admirers of Nkrumah on
his stand against colonialism so much so we copied the TANU constitution from
Nkrumah’s Convention Peoples Party (CPP). We also copied Nkrumah’s propaganda
and mass mobilisation style. Nkrumah had great influence in the politics of
Tanganyika. For instance we called TANU members who were jailed as result of their
political activities “prison graduates” after Nkrumah had done so. Robert Makange
and Heri Baghdelleh wrote an article, which the British considered seditious and the
two were sentenced to six months, imprisonment. Baghdelleh and Makange therefore
became TANU’s first prison graduates. The two were editors of TANU paper Mwafrika.
Many politicians in Tanganyika adopted the attire, which was won by Ghanaians during
the struggle, a long robe thrown over one shoulder as their own dress. At that time all
these were symbols of defiance against the British. Nkrumah and Ghana inspired us.''

Huwa naenjoy sana babu nikikutana na maandishi yako kunako jukwaaa hili
 
Jimmy ahsante ila nitakufahamisha kitu mimi ni umri wa baba yako kwa kuwa mjukuu wangu wa kwanza ana miaka 4. Lakini ikiwa ni mapenzi yako kuwa niwe babu yako ni sawa tu.
 
Jimmy ahsante ila nitakufahamisha kitu mimi ni umri wa baba yako kwa kuwa mjukuu wangu wa kwanza ana miaka 4. Lakini ikiwa ni mapenzi yako kuwa niwe babu yako ni sawa tu.
Ni wengi tunaokupenda mkuu
 
Mzee anajua sana huyu kuna kipindi nilikuwa nafuatilia sana website yako sema hai-update mara kwa mara itabidi nitafute maandiko yake nisome zaidi
Huyu ndiyo anetufanya tujue mengi katika kuanzishwa kwa TANU. Wazee wengi anaowaongelea walikuwa marafiki wa wazazi wangu, ninafahamu mengi kupitia mzee Mohamed Said
 
Nafurahia story za mzee hasa pale anapoandika kwamba alikutana na mtu anayemueleza

itabidi nitafute vitabu vyake
Jimmy...
Tuanze na Ally Kleist Sykes:

TjF1BiLiGphldpH_dBJVWnlsT-PPK2rmF20FUstlOJwvRZPo-DbxHeX6ex7DviAoZI6aDjiwuf_ZGokWue-3gDJJC3SlUdr1WfrrTkuENJDBT2ZPWIe-8cHWQF_hMuPq8ATVhEWl1ifIiQ2a8O1ukFYL-ypYOj-XJLJj89WeWUgmAZoS6Dd2hbNHjkxwidS73sXXLLqt8d4PemKQ4lo41ubf0io77aGmVogxUteBdR2O3glRaDCYgq3k5VqO8tgGpwmr7Ef4qN_TCT_Crdh2yZ6deTWdtqMDkijYLuZGyTkcj61m1th4qT8oNkMSYMS3VQSusErcDZsql5fdCgdOfBZZtvbD0q_bEcbBWX5S3-GABj4pCQ-q91ZXU-cVMVkk2rO3-PgwNPlpqUo2Ibklu_0h1k0rLfH9LLf58LdruMlRRw5C4mceWrBYhIXw5UHrPG1F3kriMSVkTw27GNX23vT-9blFhP3a_kk0IQvVOKQZYdrfXc498W1UDJR8nFZaIggotQa8vgFOCVEBoxxvjItkL4s9ypVjVsOncDtvvsMlmRJacjePsM_opE-jl5WcG6a1L8X5ZYPoTD-JvDAqEztBLOo1xrNLZ3aOK-w=w480-h349-no

Picha hii na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ilipigwa
nyumbani kwa Mwalimu Nyerere Magomeni mwaka wa 1958.


Ally Sykes nimemjua toka utoto wangu na ndiye aliyenikabidhi nyaraka za ukoo
wake ili niandike historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Ukimtoa Hamza Mwapachu, Abdul Sykes, John Rupia, Tewa Said Tewa na
Dossa Aziz hakuna mtu liyekuwa anaijua historia ya mapambano dhidi ya ukoloni
kushinda Ally Sykes.

Labda litakuja swali.
Je, Mwalimu Nyerere hakuwa anijua historia ya TANU?

Mwalimu Nyerere alikuwa anaijua historia ya TANU lakini yeye aliingia katika
harakati za siasa pale New Street ofisi za TAA 1952.

Baba yake Ally Sykes, Kleist Sykes ndiye aliyesimamia ujenzi wa hiyo ofisi enzi
za African Association katika ya 1929 na 1933.

Kwa ajili hii basi Ally Sykes na kaka yake Abdul ni sehemu ya historia ya TANU
na uhuru wa Tanganyika.

Ally Sykes ndiye aliyemwandikia Baba wa Taifa kadi yake ya TANU no. 1.

M_Pb1Log40xwoXEfeDu6jvJLVDyjnHfEObwCAmf5UIWlwNm4k2Je4cThOvDslDou6hCGjg9R9tmfdFeU1zfVcqvsn1UAIx-9gjudRXhrRIpDBFFFO5Z_GSHy8CV8maN3w3-lAZfq401CK2oVhm44YXYUjgAqEPsDfCz1Pu3R43JbwPbsKx_3uehwprF9dMEQxkHepSALGzQfA5N1SB6xef45B3mSEvejH_1YyaD5BP-bZPXv0_bb5chVdG3Jc4r_22K-X9VYUpNpVDcRVeJ1o7yiwNkHji5yIZJUkkllbStaSUGsF-7ve7Q-zaqLllrZMNPlcQekeqypGJeDguZaCo1FyRRLvhgASwPHVjV21mrafg16_AnqW2RvXum2lYtkiKKgnyFjlVpB-uKKR4ZpeBztxaCAj2vuK_bv0AxwPWPBT5tfNRuFDNgioJM_QRI3Y-LwtvltgQ2XANzq2_beXU0GkDvSrqk7RhR4qisX-l0422PCdquYerq2pDWW4eaPGjT6dXhZ9WlsOmxEVXcJtZal86gjiouZdBwmz2s3Qp8kchZCUjvxmrvvGsW_PM4Chk7cLeqUXhhMhdtp_2nMNX4ilpzPk9D0XTPLTAis=w910-h632-no

Ally Sykes na Mwandishi, Muthaiga Country Club Nairobi 1989

Hii Muthaiga club ni club makhsusi kwa watu matajiri wa Kenya na ilikuwa
na members wengi Wazungu kwa kuwa waliweka masharti magumu sana
ya uanachama kiasi kwamba hata Gavana wa Kenya alitakiwa apitishwe na
Kamati ili awe member.

Sharti la kwanza la kuwa mwanachama ni kuwa kwanza lazima uwe millionaire
na hudumu yoyote katika club unaweka saini tu kwenye bill yako hulipi fedha
taslimu.

Ally Sykes amekuwa mwanachama wa Muthaiga Club toka mwaka wa 1967.
Mara zote nilipokwenda Muthaiga sikupata kumwona mwanachama Mwafrika.

Mwafrika niliyomuona pale ni mtumishi.

Wakati huu ilikuwa 1995 na nilikuwa nakutana na Peter Colmore kwa mahojiano
ya maisha yake katika kitabu nilichokuwa naandika cha Ally Sykes: ''Under the
Shadow of British Colonialism in Tanganyika.''

Ikiwa mmependezewa na stori hii nitakuhadithieni stori ya Peter Colmore, rafiki
ya Ally Sykes ambae Ally Sykes alinambia ndiye mwalimu wake katika biashara
na ndiye aliyemtajirisha akiwa bado kijana mdogo sana.
 
Back
Top Bottom