Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Na wewe ni MBWA WA MANZESE au wa wapi.Wewe ni mmoja wa wale ngozi nyeusi mlionunua kabila mkajifanya waarabu, kuna mjumbe toka unguja aliwalipua kwenye bunge la katiba
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ni MBWA WA MANZESE au wa wapi.Wewe ni mmoja wa wale ngozi nyeusi mlionunua kabila mkajifanya waarabu, kuna mjumbe toka unguja aliwalipua kwenye bunge la katiba
Wewe picha za ngono zimeishakuharibu.Satanic verse by Rushdie
Wewe picha za ngono zimeishakuharibu.
Zile nazopiga nikikushikisha ukuta au
It shows your stupidty, moron!
crabat,
Huyo ni Baraka Shamte siyo Bakari Shamte.
Baraka Shamte ni mtoto wa Sheikh Mohamed Shamte aliyekuwa
Waziri Mkuu Zanzibar ambae alipnduliwa na yeye akaja kufungwa
Ukonga Prison, Dar es Salaam.
Habari zake ni nzito kada huyu wa ASP na CCM.
Nakuombeni wanajamvi muwe na subira.
Nimefanya mahojianonae nyumbani kwake Mkunazini Zanzibar nikiwa
na TV Imaan.
Subirini hivi karibuni TV yetu itakuwa hewani kupitia Startime In Sha
Allah mtamsikie yeye mwenyewe akijieleza.
Picha hiyo hapo chini tukiwa katika majadiliano:
![]()
Sheikh Mohamed Shamte
![]()
Pitia nyuzi vizuri kaandika alipoitoa.
help please difference between syndrome and disease @ mdondoaji
Siku hizi anashinda jukwaa la Celebrities na kina Wema Sepetu.
Teh teh teh...
Barubaru,
Mwanakijiji anaogopa kupiga mbizi aibuke na lulu.
Kote alikopita kanikopi ila kwa ujanja ambao mtu kama wewe huwezi kuzugika.
Anatumia maneno ''mzee,'' bila kujua.
Nyerere alikuwa mkubwa kwa Abdul Sykes kwa miaka miwili.
Nyerere alipokutana na Abdul Sykes Abdul alikuwa na miaka 28 na Nyerere
alikuwana miaka 30 wote walikuwa vijana sana.
Sasa hii ya ''mzee,'' sijui kaitoa wapi.
Katika kuileta TAA katika mikono ya vijana walikuwapo wazee nao ni Sheikh
Hassan bin Amir, Schneider Abdillah Plantan na Clement Mohamed Mtamila,
Said Chamwenyewe na wengineo.
Hawa ndiyo walikuwa wazee.
Dk Kyaruzi hakukaa sana katika uongozi wa TAA.
Kuna mambo mimi sikuyaweka kwenye kitabu kwa ajili ya staha.
Liko sakata la Amri Kweyamba wa Special Branch na timu yake walipovamia
nyumba ya Abdul Sykes na Nyerere yuko ndani Mtaa wa Sikukuu.
Ilibidi Nyerere ajifiche asikutwe pale.
Mwache Mwanakijiji abwabwaje hana moja anolojua.
Sina haja ya kuendelea zaidi na mtu huyu nilishamuwia radhi siku nyingi sana.
Nilimwambia mwandikieni kitabu Nyerere ndiyo mtaweza labda kumnusuru.
Msipamchike na sifa zisizokuwa zake.
Mtachekesha.
Barubaru,
Hilo ni gazeti la juma lilopita la jana sijui kasema nini maana sinalo.
Mohamed katika maandishi yako kuhusu wapigani uhuru wa nchi hii wasiotajwa,umetilia mkazo sana watuBig Show ingia ktk blog Mohamed Said kuna kipindi nimefanya kuhusu Sheikh Ali Muhsin.
Ba3ad 3umri taweel !!
Mehm. Muhammad Sa3eed nahofia maisha yako !!