Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #61
Mohamed katika maandishi yako kuhusu wapigani uhuru wa nchi hii wasiotajwa,umetilia mkazo sana watu
wa pwani.Huko bara kuna watu walifanya makubwa kumuwezesha Nyerere.Kwa kuanzia tafiti juu ya mabibi hawa,Fatna binti Mursali wa Arusha na dada yake Hawa binti Feruzi wa Singida uone ukweli uliofichwa.
Kivava,
Hakika mie nawajua zaidi wazee wangu wa hapa Dar es Salaam na ndiyo
niloweza kuhifadhi historia yao.
Ningefurahi sana mtu kama wewe unaowajua wazee wetu wengine kama
hao ungefanya utafiti na ukaandika habari zao.