kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
NdioAna asili ya Israel?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioAna asili ya Israel?
wewe ulikuwa wa ngapi?Lkn hakumwacha kama wewe ambaye umebadirisha zaidi ya kumi
kilichomfanya aaanze kuamini uwepo wa Mungu ni nini?Alikuwa haaminin uwepo Wa Mungu ameanza juzi kuamain
Lazima kakutana na kitukilichomfanya aaanze kuamini uwepo wa Mungu ni nini?
Hiyo ilikuwa ni zamani sana.Hana bodyguard anatembea huru kabisa sio kama hawa ma celebrity wa bongo pesa kidogo tu bodyguards uchwara 10 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hiyo ilikuwa ni zamani sana.
Sasa hivi anatembea na 16 security guards.
Yaani mtu mwenye networth ya $56bilns USD atembee bila walinzi? hapana
Akiona neno code kwake inamaanisha ngonoMkuu hivi kuna mahali imeandikwa ngono hapo au ni habari nyingine umechomekea
Hata mm.Story nzuri ila paragraph ya mwisho ni maneno ambayo tushayazoea
Kaitwa na papa amsaisie kufngua akaunti ya instagramHuyo jamaa hata angekua bongo angeishia kudharauliwa tu, huku bongo mtaji ni cheti na title kama Prof, Dr n.k ndio maana vijana wanakariri kupata hizo sifa sio ujuzi.. haya huyo hana cheti lakini si ajabu aliaminiwa na watu mpaka na serikali yake.
Mke wakeLazima kakutana na kitu