Mfahamu Mark Zukerberg, Mmiliki wa Facebook, Instagram na WhatsApp

Mfahamu Mark Zukerberg, Mmiliki wa Facebook, Instagram na WhatsApp

Namba 5 daa!

Ila dogo anakiburi ni balaa

Kuna movie na kitabu kinachoelezea jinsi alivyogundua Facebook, it was accidental tena kwa mawazo ya watu wengine ndo aliyatumia kufanya kazi, yaani he had something lakini alikuwa hajui wala hana wazo mpaka pale certain guys walipomwita wakamwambia kuwa wanawazo waungane watengeneze something like hiyo social network mark kakubali kawasoma mawazo then___ (daa ndefu sana ngoja ntamwandikia thread).
Mkuu ukiandaa unitagi ([emoji23] [emoji23] [emoji23] )mana bila tag stori hainogi!!
 
Baba yao ni Bill Gate ambaye anautajiri sawa n'a 0.5% y'a utajiri wa marekani [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom