Pierreeppah JF-Expert Member Joined Feb 2, 2014 Posts 1,563 Reaction score 1,982 Nov 30, 2018 #41 Toddy M said: Kuna kitu nataka kujua kuhusu huyu mdudu kantangaze.. Je nikiwa niko katikati ya msitu sijazungukwa na mkulima mwingine yeyote yaan ful pori alafu hapo katikati ya pori ndio mm nalima heka zangu za nyanya je huyu mdudu anaweza nipata?? Click to expand... Utakuwa umepona. Na nyanya inapenda shamba la pekee hivo
Toddy M said: Kuna kitu nataka kujua kuhusu huyu mdudu kantangaze.. Je nikiwa niko katikati ya msitu sijazungukwa na mkulima mwingine yeyote yaan ful pori alafu hapo katikati ya pori ndio mm nalima heka zangu za nyanya je huyu mdudu anaweza nipata?? Click to expand... Utakuwa umepona. Na nyanya inapenda shamba la pekee hivo
M Mtumba project Member Joined Sep 6, 2018 Posts 50 Reaction score 29 Dec 1, 2018 #42 Hawezi kuku fikia ila hakikisha Hakuna mtu Toka nje ya eneo lako anayeingia shambani